Na Mimi mnitoe fastaNa mimi nitoe kwenye hiyo 97% aisee.
Kutokupiga kampeni ni kosa kisheria unajua hilo?
Nitoe katika ushubwada huoRais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Mbona ameandika HALAFU.Mwalimu mbona unaandika HARAFU jamani, tena kwenye kichwa cha habari!
Anyways pole sana mwalimu, hakika dhuluma huwa inaumiza sana.
Tusubiri Matokeo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi mkuu.Rais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Naona anapunguzia stress huku.Jamii forums kuna maafisa waliokupa kazi ya kusahihisha? Unaandika barua humu badala ya kwenda kwa Mkurugenzi umwambie akupe chako coz kazi imefanyika.
Hiyo kauli ya kwamba ukiona unacholipwa ni kidogo,uache kazi;Siyo kauli ya Kiungwana,hebu jaribu kuvaa viatu vya mwenzako kabla ya kuleta maneno ya kejeli.Mbona watumishi wa serikali awamu hii mnatia huruma? Mara sijui hawajapewa hela za uhamisho,Mara Likizo, Mara kusahihisha mitihani mara blah blah nyingi mmeshaambiwa na Mkuu wa nchi Kazi ukiiona ngumu acha.
Ndio wafanye maamuzi tar 28 October ili wajikomboe na hali hiyo, vinginevyo wataendelea kulimia meno.Hiyo kauli ya kwamba ukiona unacholipwa ni kidogo,uache kazi;Siyo kauli ya Kiungwana,hebu jaribu kuvaa viatu vya mwenzako kabla ya kuleta maneno ya kejeli.
Mkuu samahani wewe ni mwalimu wa levo ipi? Pia ethnic background yako ikoje?Tulio dhurumiwa ni wengi mnoo na tuna machungu sana
Wala sio mwl, ni jembe mmoja tu la Bavicha limekuja kuchafua hali ya hewa ya mtandaoniMwalimu mbona unaandika HARAFU jamani, tena kwenye kichwa cha habari!
Anyways pole sana mwalimu, hakika dhuluma huwa inaumiza sana.
Huyo ni Mwalimu HARAFU.Mwalimu mbona unaandika HARAFU jamani, tena kwenye kichwa cha habari!
Anyways pole sana mwalimu, hakika dhuluma huwa inaumiza sana.
Anakubalika naamaakoRais Magufuli anakubalika kwa Watanzania 97%
Wewe kura yako peleka kwa yule aliyetumwa na Wazungu,
Uraya??? Lol! Uraya ya "Chato".Uchaguzi ukiisha serikali ya ccm itawapeleka Uraya mkale bata
kampigie lissu atakulipa,badala ya kufuata njia sahihi kudai haki yako unatishia kujamba mitandaoniDhuruma ya malipo sio nzuri
Mkuu,mpira ni dakika tisini.Msidieni lissu afikishe walau kura laki nane