Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Kama kichwa cha habari hapo juu,
Tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa, sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote, walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira, sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa, serikali ipo tuu inaangalia, nilisha andika hapa Jamiiforums swala hili lakini halijafanyiwa kazi
Dhuruma ya malipo sio nzuri
Tulivyomaliza kusahihisha 2019 mwezi wa 6 tulilipwa laki moja tuka ambiwa tutamaliziwa laki 1 na elfu 80 mfumo ukifunguliwa, sasa walioenda kusahihisha mwaka huu wamelipwa pesa yote, walivyoulizia ya mwaka jana 2019 wakaambiwa wavute subira, sasa leo hii mimi niipigie kura CCM labda nitakuwa kichaa, serikali ipo tuu inaangalia, nilisha andika hapa Jamiiforums swala hili lakini halijafanyiwa kazi
Dhuruma ya malipo sio nzuri