Mimi si shabiki wa carapase a.k.a CCM lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Abdulaziz Abood mbunge wa Morogoro mjini si muongeaji sana Bungeni lakini anajitahidi sana kuboresha huduma hapa jimboni kwake, kwa hivyo si dhani kabisa kabisa kama Afande Sele ananafasi hapa mjini labda ajipange kwanza kwenye udiwani wa kata ya Misufini sio Ubunge angojhe ngoje kwanza la si hivyo ataangukia pua, hii aliweza Sugu peke yake!