Morogoro mjini 2015

Morogoro mjini 2015

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
306541_3996124057983_1535558347_n.jpg
 
Ndo nani huyo

Ni mvuta Bangi furani hivi anamvuto sana kwa vijana! mimi naamini anaweza kulichukua jimbo la Moro mjini kwa tiketi ya CDM lakini itakuwaje Bangi na hizo nywele?
 
Vipi shule yake? CDM hatunaga vilaza kama Prof.maji marefu, martha mrata, Chilolo n.k.
 
Mimi si shabiki wa carapase a.k.a CCM lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Abdulaziz Abood mbunge wa Morogoro mjini si muongeaji sana Bungeni lakini anajitahidi sana kuboresha huduma hapa jimboni kwake, kwa hivyo si dhani kabisa kabisa kama Afande Sele ananafasi hapa mjini labda ajipange kwanza kwenye udiwani wa kata ya Misufini sio Ubunge angojhe ngoje kwanza la si hivyo ataangukia pua, hii aliweza Sugu peke yake!
 
​cha msingi ni kuiondoa ccm hata tukiweka mbuzi lakini ccm iondoke
Ni mvuta Bangi furani hivi anamvuto sana kwa vijana! mimi naamini anaweza kulichukua jimbo la Moro mjini kwa tiketi ya CDM lakini itakuwaje Bangi na hizo nywele?
 
Back
Top Bottom