Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,440
- 5,738
Ni aibu na fedheha sana kwa mwanamama mrembo hivyo kutupa watoto na wanja katia machoni kweli? Mungu tunusuru na hiki ni kizazi cha ajabu mno................ sio kwa uthubutu huo jaman. Miaka 9 na sita si bora angewapeleka kwa ndugu yeyote mzaa mama au baba au kwa shangazi daaah