mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,857
Wanabodi,heri ya mwaka mpya,ndugu wanabodi,huyu Dada alikuwa anaishi morogoro mazimbu Malibu na chuo kikuu cha sua,tarehe 3/12/2017,alimwita dereva was bodaboda,akamwagiza awatangulize watoto wake wawili,mkubwa ni wakike anamiaka 9 na wapili ni wakiume anamiaka 6,ambao kawazaa mwenyewe,boda aliwachukua na kuwapeleka mzumbe ambako kuna nyumba yao walikuwa wanajenga haijaisha ujenzi wake,na mumewe ambaye amefariki,boda aliwapeleka na kuwafikisha kwenye boma mzumbe ba akaondoka,maana alimwambia awatangulize na yeye anakuja,watoto walikaa nje mpaka Giza likaingia,ndipo walipoanza Julia,majirani walisikia vilio ndipo walipokuja kuwauliza na baadaye kuwachukua,baada ya kufatilia walipokuwa wanakaa ,wakaambuwa,mama yao alihama Jana kwenda mzunbe kwake,hadi sasa watoto wanaishi kwa msaada wa sisi majirani,inasemekana yupo Far,sehemu ya Bunju na mapinga,anaitwa maria Juma kalonga no mzaliwa was Babati,kabila mbulu ni mweupe, mrefu mnene wasitani,naomba tushilikiane ,namba yakesi MOR/RB/12915/17 ,au namba 0744993994 au 0687291444,zawadi ya sh.laki mbili itatolewa,tushilikiane kumtafuta Dada huyu,ili tutokomeze ukatili dhidi ya watoto ,naomba Uzi huh msiuondoe haraka.