Watundu wasio na nidhamu (WWN) wamevamia tena Web ya Tanzania. Jamaa inaonekana wameumia sana Taifa Stars kuwafunga sasa wanafukunyua website chovu za serikali.
Naomba wadau muweke list ya site walizochezea so far.
Swali ni kuwa Tukawachezee kwao? Mchezo tunauweza?
Tunatakiwa tufanye Hacktivist? Serikali itatulinda in case...!?
Moroccan Hacklist
1.
The Vice-President's Office - Home -