BabaDesi JF-Expert Member Joined Jun 30, 2007 Posts 6,214 Reaction score 4,167 Oct 25, 2019 #21 mayowela said: maajabu au mambo hayo yalikuwa yakitokea enzi zile za wajerumani, ndio nataka kufahamu Click to expand... ....Mkuu, ungesema kwanza ni maajabu yepi wewe uliyosikia ndio watu naamini watapata muelekeo wa kuchangia...
mayowela said: maajabu au mambo hayo yalikuwa yakitokea enzi zile za wajerumani, ndio nataka kufahamu Click to expand... ....Mkuu, ungesema kwanza ni maajabu yepi wewe uliyosikia ndio watu naamini watapata muelekeo wa kuchangia...
Statesmann JF-Expert Member Joined Jul 16, 2019 Posts 2,344 Reaction score 3,465 Oct 25, 2019 #22 mayowela said: sifahamu, ndio maana nimeleta hapa wanaojua watujuze, nimesema nasikiasikia Click to expand... unasikia sikia nini?
mayowela said: sifahamu, ndio maana nimeleta hapa wanaojua watujuze, nimesema nasikiasikia Click to expand... unasikia sikia nini?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,317 Oct 25, 2019 #23 1kush africa said: Ulichoka na kale kampando Click to expand... Nilijikurupukia tu hata mazoezi sina, nilikipata cha mtema kuni
1kush africa said: Ulichoka na kale kampando Click to expand... Nilijikurupukia tu hata mazoezi sina, nilikipata cha mtema kuni
1kush africa JF-Expert Member Joined Dec 13, 2016 Posts 9,969 Reaction score 13,848 Oct 25, 2019 #24 Atoto said: Nilijikurupukia tu hata mazoezi sina, nilikipata cha mtema kuni Click to expand... Pole sana
Atoto said: Nilijikurupukia tu hata mazoezi sina, nilikipata cha mtema kuni Click to expand... Pole sana
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,948 Reaction score 13,378 Oct 26, 2019 #25 mng'ato said: Waluguru wameshaanza kurefuka siku hizi? Click to expand... Mabinti wa kiluguru ni watamu Nalog off
mng'ato said: Waluguru wameshaanza kurefuka siku hizi? Click to expand... Mabinti wa kiluguru ni watamu Nalog off