morning erection.

...ha ha mkuu mbona tangia tukiwa watoto msepelele morning huwa unasimama tu !!! Msepelele kusimama asubuhi ni kwamba uko tayari kwa shughuli muda wowote .....very massive than ule usio simama asubuhi!!!!

Kutambua zaidi lala chali ukiwa umeangalia juu msepelele mkakamavu husimama wima nyuzi 90 ule goigoi husimama kwa nyuzi 45

chukua na hii :mautambuzi mengine unapokuwa unagegeda mtoto lazima atoke machozi bila sauti hapo ndo utajua msepelele umezama nyuzi kwa nyuzi 90

Ijumaa njema mku

Msepelele?" kweli mjini kukubwa!
 
...ha ha mkuu mbona tangia tukiwa watoto msepelele morning huwa unasimama tu !!! Msepelele kusimama asubuhi ni kwamba uko tayari kwa shughuli muda wowote .....very massive than ule usio simama asubuhi!!!!

Kutambua zaidi lala chali ukiwa umeangalia juu msepelele mkakamavu husimama wima nyuzi 90 ule goigoi husimama kwa nyuzi 45

chukua na hii :mautambuzi mengine unapokuwa unagegeda mtoto lazima atoke machozi bila sauti hapo ndo utajua msepelele umezama nyuzi kwa nyuzi 90

Ijumaa njema mku
yarabi mmh
 
Mkojo ukijaa kwenye kibofu huleta pressure .ii pressure hugandamiza nerve ambazo husafirisha taarifa kwenye ubongo.so feedback inatofautiana,hivyo kupelekea wengine kudinda na kutodinda.so interpretation ya pressure ndo inaleta ishu yote.
 
Ur explanation abt pressure ya mkojo sio scientific....morning erection is part of the continuation of REM sleep cycle ....on average a man erects seven to ten times Akiwa amelala unakuwa aware unapoamka ..the truth ni Kwamba u have been erecting over nyt at different time intervals
 
Ur explanation abt pressure ya mkojo sio scientific....morning erection is part of the continuation of REM sleep cycle ....on average a man erects seven to ten times Akiwa amelala unakuwa aware unapoamka ..the truth ni Kwamba u have been erecting over nyt at different time intervals

so tell us more about rem na mahusiano ya kudinda.how the process is brought abt?
 
Usichukulie face-value ya kila dondoo kutoka kwa 'madokta' wa humu, kuna madokta waganga wa kienyeji kama MziziMkavu, na kuna madokta wa majini na hata wa viduku pia wapo.

is true bt for the movement of body to occur is not only the activt of muscler.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna homon inaitwa testosterone amabyo ndiyo inayohusika na mihemko ya mwili kwa wanaume na mambo yoote ya tabia za kiume..
Mara nyingi sana homo hii humwagwa mwilini kwa wingi naturally mida ya alfajiri na kusababisha "DOGO JANJA" kusimama na inaposhuka basi dogo husinzia...

Kuna watu hii homon ni nyingi sana na kuna watu hii homon ni kidogo, ikiwa nyingi mwilini maara nyingi watu huwa na tbia za kiume zilizopitiliza kama vile ubabe, kuwa rough na mambo kama hayo ila ikipungua sana watu huwa na tabia za kike sana na mambo ya kike mfano mwanaume kufumuka maziwa kama mwanamke, makalio kuwa makubwa na mmbo kama hayo....
Kimsingi homoni hii huwa nyingi unapokuwa na umri wa ujana na hupungua kadri unavyozeeka....

Zipo sababu zinazopunguza uzalishwaji wake kama vile STRESS, ULEVI KUPITA KIASI, VYAKULA HASA VYA MADUKANI, MADAWA na CHEMIKALI nyingi za viwandani...

Vyakula vinavyosababisha kuzalishwa kwa wingi hii homon ni vile vyenye ZINC kwa wingi kama vile PWEZA, MBEGU ZA MABOGA, MATIKITIKI MAJI NA MBEGU ZAKE na VYAKULA VINGI VYA BAHARINI....

Kumekuwa na kamsemo mitaani kuwa ukiwa na gemu kanywe SUPU YA PWEZA...lakini kimsingi pweza wamesheheni zinc kwa wingi hivyo kusababisha homon hii kuzalishwa kwa wingi....

Nafikiri nimetoa angalau mwanga fulani na nimejitahidi kuepuka maneno ya kitaalamu....

Now if ni testosteron then kwan nin mgonjwa wa sickle cell anapata preapism? Au kwa nin the erecticle medicine hazi act agnst the testosteron? Brother testosteron homon huzalishwa na interstitial cell in the "epididyms" after puburty ambapo ni umri wa miaka 12 had 14 homon hii haipo kwa watoto na haiproduziwi asubuh kama unavyo dhani,homone hii ni cyclic homone. homon inayo produziwa saa tisa mpaka saa kumi na moja asubuh ni "cortsol" for absoption of fat,glucose,protein kwenye utumbo! Ili pens isimame nilazima kuwe na"dopmine" which stimulate the production of nitric oxide in the present of "cyclic guanine monophosphate" kwenye "pudendy artery" which lead to the artery dilection na damu kujaa kwenye mishipa hiyo ndipo penis inasimama! Kaz ya testosteron ni kufanya mabadiliko ya kubalehe tu na sio erection. Even sympathetic stimulation which cause the dilation of arteries and the penis to erect. Homon inayo husika na mihemko ni "dopmine and adrogen"for male and oestrogen for female. Nice day
 
Teeh Teeh Teeh!
Halafu aliyeandika hivyo anajiita Dr?
Bila shaka huyu atakuwa ni Dr book na si Dr human eeh?!
Tena book yenyewe ni computers...

all doctors come from doctor book to doctor human as u say. Usichanganye siasa na sayans brother mim ni doctor na ninajiamini na kaz yangu na ninachosema, kama unapinga! Pinga kwa hoja ya kisayans ilitutatue matatizo ya watu hili ni jukwa la sayans na sio siasa brother!
 
Kaz nyingi za kujenga mwili hufanyika usiku wakat mwili umetulia most of spam hutengenezwa usiku kwenye "TESTES" na kuhifadhiwa kenye "SEMINALFEROUS" huwa spam zinapokuwa nyingi mwili utakujulisha kwa kukupa hamu ya mapenz au kusimama mara kwa mara kwa uume, now mornng erection inamaanisha kiwanda cha kutengeneza spam kimekamilisha ujazo wa sperm unaotakiwa na kwamba kilakitu kiko salama kwenye uzalishwaji wa spam, ndo maana ukifanya mapenz sana kabla ya kulala uume hauta simama asubuh! Kwa mtu ambaye hasimamish ni dalili yakupungua kwa uzalishwaji wa spam, labda alikuwa anafanya punyeto sana au anangonoka sana. Tiba ipo ila inaitaji usimamiz wa dactari.

Good. What about watoto wadogo. Wanapoamka asubuhi ile kitu lazima isimame. But hawana sperms. Inakuwaje hapo?

 
U people u hav to know not a single cause can be a reason on a person disease bat single cause can be the result of a person's disease "he sayd pavoc a physician"
 
all doctors come from doctor book to doctor human as u say. Usichanganye siasa na sayans brother mim ni doctor na ninajiamini na kaz yangu na ninachosema, kama unapinga! Pinga kwa hoja ya kisayans ilitutatue matatizo ya watu hili ni jukwa la sayans na sio siasa brother!
Angalia maana ya maneno haya ndo utaelewa nini ninamaanisha SPAMs na SPERMs. Shida kwenye maelezo yako umetumia neno SPAMs...

Na kwa taarifa yako tu maDr wako books, human na gift...

Mfano waliosoma medicine hao ni Dr human; waliosoma fani yeyote tofauti na medicine hadi degree 3 ni Dr books na kuna wengine wanapewa uDr kama peremende hao ndo Dr gift, wengi wao utakuta ni wakuu serikalini...

Pia kuna DrSuperstitions na DrSinging kama akina majimafupi na late Remi!

Bila shaka utakuwa umenisoma mkuu!
 
Misiju siasa brother! wht i know fore brain is concerng with cognative and it is the last part of the brain to grow. Be blecd
 
Back
Top Bottom