Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,513
- 283,982
unaambiwa hata zile DAWA MSETO ZA MALARIA ZENYE NEMBO YA JANI ( zilizoletwa kwa hisani ya watu wa marekani ) hakuna tena , wameondoka nazo ! hakika ufisadi umeiletea aibu sana nchi hii .Ni rahisi kuandika kuichafua serikali. Akitakiwa alete huo ushahidi kuwa donors wanasema hivyo anao?
Uandishi huu utawagharimu wengi. Wakianza kuulizwa walete vielelezo wanaanza kuhaha. Kama umewahi kudeal na diplomats utajua ugumu wa kuwanukuu maana watakuruka tuu.