Jamani mwenye habari zozote za ziada juu ya jina hilo hapo juu...nilizonazo mimi ni kwamba ni kiwanda feki kinachotengeneza juice toka Morogoro, kikipatikana njia ya Mazimbu, karibu na shule ya msingi Shubila...TFDA au TBS tunaomba msaada hapa..
Jamani mwenye habari zozote za ziada juu ya jina hilo hapo juu...nilizonazo mimi ni kwamba ni kiwanda feki kinachotengeneza juice toka Morogoro, kikipatikana njia ya Mazimbu, karibu na shule ya msingi Shubila...TFDA au TBS tunaomba msaada hapa..
Kuna kiwanda kipya kimefunguliwa Morogoro kingolwira kinatengezea Juice nadhani brand kama 6 tofauti. Nimekaa morogoro kidogo lakini sifahamu maeneo ya mzimbu kama kuna kiwanda chochote tena cha juice.
Nafahamu pia kuna vijana waliomaliza SUA (nadhani food science)walijiunga na kuanzisha ka mini processing plant ila nadhani ni maziwa na wapo maeneo ya msamvu ama karibu na kwenye magorofa ya BALABOU(hostel za SUA kwa sasa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.