Money and love

hivi mapenzi bila hela yanadumu

nan kakwambia yana dumu nakupa mfano nilipokuwa nasoma kuna demu nilikuwa nampenda lkn kwa sababu sikuwa na pesa wala kaz akanitosa baada ya mim kupata kaz tu akaanza swaga za yale yamepit
 
but sometym love bila money is nothng bt other tym money it cant stand in term of love
 
hivi mapenzi bila hela yanadumu

nan kakwambia yana dumu nakupa mfano nilipokuwa nasoma kuna demu nilikuwa nampenda lkn kwa sababu sikuwa na pesa wala kaz akanitosa baada ya mim kupata kaz tu akaanza swaga za yale yamepit
 
Kopi: Filipo ( ule mpango wa kuuza shamba la urithi ukamnunulie Arabela vitz achana nao karidhika)

Hah hah hah hah!!! Mpango ni yeye kuuza nyumba ya urithi kule Pangani halafu tuhamie Kiding'a
 
Last edited by a moderator:
huwezi kuitenganisha..coz ata mkitaka kuongea tu,lazima pesa itatumika ktk kupanga miadi...thy r same birds flotin 2geza
 
Wewe No mane No lav!
Dekoresheni
onamenti
vocha
jifti
Havishuki toka mbinguni !

Duh!! Kumbe nitafaidi, walet yangu itapumzika. Arabela na KOKUTONA maandalizi yanakwendaje huko. Kama kuna sehemu mmekwama mwambieni shem wenu Judgement atarekebisha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…