wanawake wanafiki sana. ndo maana hatuendelei.namshukuru mungu sinaga time ya kumfuatilia mtu yeyote humu.ila shangaa kuna mtu halali anawaza tu jinsi ya kugombana na wewe. namshukuru mungu nilimuachia wenyewe bna hata sijui walimfanya nini maana niliambiwa nitulie na wenye nchi yao