GE2025 Monalisa Ndala: Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli

GE2025 Monalisa Ndala: Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Kada wa ACT Wazalendo, Monalisa Ndala, amezungumza mengi kuhusu hali ya kisiasa nchini na kinachoendelea ndani ya chama chake ambacho kilishatangaza kumvua uanachama, ambapo amesema: "Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli."

Soma > Mpina na T-Shirt yenye picha ya Magufuli kuomba wananchi wamdhamini ili aweze kugombea Urais. CCM B kazini?

Atulie huyo ndala ,kashakamilisha project yake aendelee kula mgao aliopewa ,aache kutuyumbisha.
 
Monalisa akae kwa kitulia. Ameshamaliza kazi yake aliyopewa kwa ujira mdogo. Ale pesa yake hiyo taratibu aweze kumaliza salama siku zake za kuishi hapa duniani.

Mbona wengi wanavaa za JK Nyerere au yeye hakuwahi kuwa M/K wa CCM?? Tuwaache waliolala walale zao. Mungu atajuana nao huko waliko.
 
Back
Top Bottom