Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kwanza nadhani tuna tamaduni za kuweka picha kwa watu ambao tunaamini ni mashujaa katika chama chetu, kwa hili chama kinapaswa kiniweka kati ya watu mashuhuri wa chama - Monalisa Ndala.
Monalisa ameingia kwenye mzozo na chama chake baada ya kupinga uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea Urais kupitia tiketi ya ACT WAZALENDO na kupelekea mgombea huyo kuzuiwa na Tume ya Uchaguzi (INEC) kurudisha fomu ya kugombea nafasi hiyo.
Monalisa ameingia kwenye mzozo na chama chake baada ya kupinga uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea Urais kupitia tiketi ya ACT WAZALENDO na kupelekea mgombea huyo kuzuiwa na Tume ya Uchaguzi (INEC) kurudisha fomu ya kugombea nafasi hiyo.