GE2025 Monalisa: Dorothy Semu alikuwa mgombea mzuri, alishaajiandaa tangu mwaka 2023

GE2025 Monalisa: Dorothy Semu alikuwa mgombea mzuri, alishaajiandaa tangu mwaka 2023

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kada wa ACT Wazalendo, Monalisa Ndala, amezungumza mengi kuhusu hali ya kisiasa nchini na kinachoendelea ndani ya chama chake ambacho kilishatangaza kumvua uanachama, ambapo amesema yeye alikuwa akimuunga mkono Dorthy Semu, pia ni mgombea mzuri huku akibainisha kuwa Dorthy alishaajiandaaa kugombea Urais tangu mwaka 2023. Monalisa ameyasema hayo wakati akizungumza Wasafi TV.

Je, ni kweli Semu angeleta upinzani wa kutisha kama anavyodai Monalisa Ndala?
 
Back
Top Bottom