tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Hoja ya msingi ipo. tararibu za Chama zimekiukwa, hivyo Mpina hana sifa ya kuwa mgombea wa urais kupitia ACT wazalendo.Shida ya watu kama hao, hawatumii akili bali mihemko.
Moina ni Mzalendo. Anakubaliana na yeyote alie mzalendo. Mimi nikivaa picha ya Nyerere na niko CUF ntakua na matatizo?
Hizo ni fikra mgando. Tunataka uzalendo na akili ndio ziongoze taifa sio upinzani na ushabiki wa kama ma ccm yaliyo mengi. Ili mradi ugali wao upo yanashabikia kila kitu.
Dada yuko kisheria zaidi.Mpina kaja kuidhohofisha ACTLeo amekuja na mpya tena alivyokuwa East Africa radio kuhusu kuvaa fulana yenye picha ya Hyati JPM, mpina atachomoka kweli wakuu?
Monalisa Joseph Ndala, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ACT-Wazalendo Dar es Salaam, anazimwaga lawama za kutosha kwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama chao Luhaga Mpina kwa kusema yeye kama mgombea hakupaswa kuvaa nguo yenye picha ya aliyekuwa kiongozi kwenye chama kingine.
Soma pia: Mpina awekewa pingamizi na mwanachama mwenza kugombea urais kupitia ACT WAZALENDO
View attachment 3446913
Mi naongelea kubaa t shirt/shati yenye picha ya magufutiHoja ya msingi ipo. tararibu za Chama zimekiukwa, hivyo Mpina hana sifa ya kuwa mgombea wa urais kupitia ACT wazalendo.
Hoja ya msingi ipo. tararibu za Chama zimekiukwa, hivyo Mpina hana sifa ya kuwa mgombea wa urais kupitia ACT wazalendo.
Wale wale... Yaleyale...!!!Leo amekuja na mpya tena alivyokuwa East Africa radio kuhusu kuvaa fulana yenye picha ya Hyati JPM, mpina atachomoka kweli wakuu?
Monalisa Joseph Ndala, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa ACT-Wazalendo Dar es Salaam, anazimwaga lawama za kutosha kwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama chao Luhaga Mpina kwa kusema yeye kama mgombea hakupaswa kuvaa nguo yenye picha ya aliyekuwa kiongozi kwenye chama kingine.
Soma pia: Mpina awekewa pingamizi na mwanachama mwenza kugombea urais kupitia ACT WAZALENDO
View attachment 3446913
Wakati wa urais wa Nyerere nchi ilikuwa ya chama kimoja. Watanzania wote walihesabiwa kuwa wanachama wa TANU au AFRO-SHIRAZ na baadae CCM. Magufuli alikuwa kiongozi wa chama pinzani na ACT-WAZALENDO. Kuvaa mfano wake ni kumtukuza mtu ambae hakukipenda chama chake cha sasa. Mtu afanyae hivyo anaonyesha kuwa mapenzi yake bado yako CCM.Mara ya kwanza alikuwa sahihi.
Ila hapa hana point. Ameanza wivu wa kike.
Watu husoma vitabu vya Nyerere na wanatumia sera zake na CDM huwa wanatumia sauti ya Nyerere (Ya Mabadiliko) kwenye Majukwaa na wanaeleweka.
Huyu anataka chama kifanye mambo ya familia na sio ya nchi.
Mawazo yenu yanafafana.Wakati wa urais wa Nyerere nchi ilikuwa ya chama kimoja. Watanzania wote walihesabiwa kuwa wanachama wa TANU au AFRO-SHIRAZ na baadae CCM. Magufuli alikuwa kiongozi wa chama pinzani na ACT-WAZALENDO. Kuvaa mfano wake ni kumtukuza mtu ambae hakukipenda chama chake cha sasa. Mtu afanyae hivyo anaonyesha kuwa mapenzi yake bado yako CCM.
Amandla...
Amandla...
Acha hizo, hata mimi sijamuelewa Mpina kuvaa tshirt ya Magufuli huku akiwa mgombea wa ACT. Ni sawa na mfanyakazi wa Cocacola kuvaa tshir ya Pepsi hadharani. Huyo Mpina amejigeuza mgombea binafsi ndani ya ACT.Mawazo yenu yanafafana.
ACT sio chama cha familia, ni cha Umma.
Mtu anaweza akawa ACT akamtolea mfano mzuri wa mtu aliyeko CCM. Na hii ndio siasa.
Acheni ubinafisi ili chama kipanuke.
Wenzako wanatafuta kura wewe baki na ufinyu wako wa mawazo.Acha hizo, hata mimi sijamuelewa Mpina kuvaa tshirt ya Magufuli huku akiwa mgombea wa ACT. Ni sawa na mfanyakazi wa Cocacola kuvaa tshir ya Pepsi hadharani. Huyo Mpina amejigeuza mgombea binafsi ndani ya ACT.
Kura zipi, ni wapi cdm walikuwa wanatumia sauti ya Nyerere. Cdm sio chama cha wazee, watatumia vipi sauti ya mtu wa karne iliyopita kusaka kura? Kura kwa tume ipi kwanza?Wenzako wanatafuta kura wewe baki na ufinyu wako wa mawazo.
CDM walikuwa wanatumia sauti ya nyerere kwenye majukwaa yao kutafuta kula, walikuwa ni CCM?
Nimejua wewe una umri mdogo.Kura zipi, ni wapi cdm walikuwa wanatumia sauti ya Nyerere. Cdm sio chama cha wazee, watatumia vipi sauti ya mtu wa karne iliyopita kusaka kura? Kura kwa tume ipi kwanza?
Avae akiwa nyumbani kwake sebuleni jioni wakati anakunywa kahawa.Shida ya watu kama hao, hawatumii akili bali mihemko.
Moina ni Mzalendo. Anakubaliana na yeyote alie mzalendo. Mimi nikivaa picha ya Nyerere na niko CUF ntakua na matatizo?
Hizo ni fikra mgando. Tunataka uzalendo na akili ndio ziongoze taifa sio upinzani na ushabiki wa kama ma ccm yaliyo mengi. Ili mradi ugali wao upo yanashabikia kila kitu.