PreGE2025 Monalisa ajitosa kwenye viti maalum kupitia UVCCM

PreGE2025 Monalisa ajitosa kwenye viti maalum kupitia UVCCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kinyang’anyiro cha Ubunge wa Viti Maalum kundi la Vijana kinaendelea kukolea moto baada ya Monalisa Daniel, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM.

Monalisa ambaye amejijenga na kukubalika na vijana wengi katika mkoa wa Shinyanga, Kanda ya Ziwa ngazi ya kitaifa kiujumla kutokana na uchapakazi wake na kujitolea katika shughuli mbalimbali za kijamii na ujenzi wa jumuiya ya vijana, (UVCCM) anatajwa kuwa mmoja ya wagombea wenye mvuto katika mbio hizo za ubunge.
1751179766260.png

Chanzo:Jambo TV
 
Mbona hiyo translation siioni na umeandika hapo..

Au tuachane nayo mkuu..
Monalisa hapo ni yule muigizaji au..?
 
Kinyang’anyiro cha Ubunge wa Viti Maalum kundi la Vijana kinaendelea kukolea moto baada ya Monalisa Daniel, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM.

Monalisa ambaye amejijenga na kukubalika na vijana wengi katika mkoa wa Shinyanga, Kanda ya Ziwa ngazi ya kitaifa kiujumla kutokana na uchapakazi wake na kujitolea katika shughuli mbalimbali za kijamii na ujenzi wa jumuiya ya vijana, (UVCCM) anatajwa kuwa mmoja ya wagombea wenye mvuto katika mbio hizo za ubunge.
View attachment 3387951
Chanzo:Jambo TV
Dah! Afadhali! Huyu apite tu, maana kabla nikifikiri ni "Manalisa" wetu! Nikataka kushangaa, "Mona Lisa" wetu na UVCCM wapi na wapi!!!
 
Back
Top Bottom