Monaban umegombea tu kwa mara ya kwanza na hatujui sifa za utendaji wako iweje utake ushindi hapa arusha, kubali kushindwa jaribu tena kipindi kingine hahahaaa we ulifikiri ukiwa na pesa basi unapita tuu
Ha ha ha ha........aisee........kifo cha Mende kibaya jamani.......
hivi kwa Arusha......hata kama hujui kusoma........picha huelewi......hata harufu huhisi........nafwaaaaaa......
Monaban umegombea tu kwa mara ya kwanza na hatujui sifa za utendaji wako iweje utake ushindi hapa arusha, kubali kushindwa jaribu tena kipindi kingine hahahaaa we ulifikiri ukiwa na pesa basi unapita tuu
Sifa zake hatujui..........yeye mwenyewe ulimi mzito kama jabali........Arusha hatutaki mtu wa hivyo.......LEMA ATOSHA.......hi hi hi hi hiiiiiiiiiiii.............