Momba: Wananchi wavunja Daraja chakavu

Momba: Wananchi wavunja Daraja chakavu

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,692
Reaction score
59,195
Wananchi katika kata ya Chitete wilayani Momba wamevunja daraja la Kiteputepu linalounganisha vijiji vya Chitete na Mlomba kutokana na serikali kushindwa kukarabati hivyo kuchakaa kupita kiasi na kusababisha vifo vya watu wanne waliotumbukia mtoni kwa nyakati tofauti.
 
Hao wanaohatarisha maisha yao kupita kwenye hilo daraja hawathamini maisha yao. Elimu elimu elimu
 
Weka picha kama ipo tufanye tathmini ya uharibifu.
 
wambie wasubiri kwanza tumalizane na wap;inzani ndo tutarudi kwa wananchi kuwatatulia matatizo yao
 
Back
Top Bottom