Mokiwa was right for his statement. What about BAKWATA's statement?

Loyal_Merchant

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
623
267
Kwa mtazamo wangu askofu v.mokiwa alikuwa sahihi kutoa statement aliyoitoa juu ya kumtaka prezdaa aweke bayana ni akina nani haswa wanaouza madawa ya kulevya. Na kama baraza la maaskofu lingeinyamazia kauli ya huyu mropnkaji inamaana sisi waumin tusingewaelewa kwan tungeamin kwa namna moja au nyngne baraza la maaskofu linahusika kuwaficha wahalifu. Pia ningependa kuuliza BAKWATA hawajatoa tamko lao juu ya huyu mropokaji kwan katika kauli yake alijumuisha viongoz wote wa dini na kwa bakwata kukaa kimya inamaana wanaashiria kuna watu wa aina hiyo kwa upande wao..?
 
Issue hapa ni uelewa na upambanuzi.
Tusubiri tuone wenzetu wa Bakwata watakavyokuja.
.
 
................Hakuna tija kwenye hiyo thread yako...una udini japo hutaki kuuweka wazi...
 
udini unatokea wapi?, wewe ndo unataka uleta. Hapa tunazungumzia tamko lilotolewa kwa taasisi za dini juu ya tuhuma ilizopewa. Nahisi wewe ni ccm kwan ndo mlichokaririshwa na chama chenu kwamba chochote kitakachozungumziwa kinahusu dini basi ni udini. Tuhuma zilielekezwa kwa dini zote. Haya tufafanulie udini katika coment yangu unajidhihirisha wapi..?
 
Back
Top Bottom