kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Siasa mchezo mchafu
Na sijui kama rais wangu Moise Katumbi alishauriwa kabla ya kuingia kwenye siasa
Amejipanga kisawa sawa dhidi ya fitina hizi za wana siasa mbalimbali nchini.
Leo chama tawala kimenunua vyombo vyote vya habari nchini na watu fulani kuzungumzia mabaya yake tu huku wakifanya matukio ya ajabu kudanganya population kuwa matukio haya yanafanywa na moise katumbi ili kuchafua jina lake na kupunguza nguvu yake kuelekea kwenye uchaguzi mkuu
Wafuasi wa chama chake wanauliwa na kushambuliwa na watu wasio julikana kila wanapokuwa kwenye mikutano ya siasa nchini wanapigwa mawe na wengine machupa uku serekali wakicheka na kudai kuwa wakongo hawamtaki moise katumbi
Timu za mpira wafuasi wake wameingizwa kwenye siasa kwa kupata wawekezaji wana siasa na wote wakiambiwa kuwa Moise katumbi ndio chanzo cha mpira wa Kongo kuaribika mpaka kuelekea timu za mpira kukataa kucheza katika uwanja wa Moise katumbi
Na kibaya zaidi yeye yupo kimya hana tamko lolote juu ya upumbavu huu zaidi ya kusafiri Marekani Israel na sehemu zingine okey acha tuone itakuwaje Maana kupona kwake hapa ni kuchukuwa madaraka tu
Na sijui kama rais wangu Moise Katumbi alishauriwa kabla ya kuingia kwenye siasa
Amejipanga kisawa sawa dhidi ya fitina hizi za wana siasa mbalimbali nchini.
Leo chama tawala kimenunua vyombo vyote vya habari nchini na watu fulani kuzungumzia mabaya yake tu huku wakifanya matukio ya ajabu kudanganya population kuwa matukio haya yanafanywa na moise katumbi ili kuchafua jina lake na kupunguza nguvu yake kuelekea kwenye uchaguzi mkuu
Wafuasi wa chama chake wanauliwa na kushambuliwa na watu wasio julikana kila wanapokuwa kwenye mikutano ya siasa nchini wanapigwa mawe na wengine machupa uku serekali wakicheka na kudai kuwa wakongo hawamtaki moise katumbi
Timu za mpira wafuasi wake wameingizwa kwenye siasa kwa kupata wawekezaji wana siasa na wote wakiambiwa kuwa Moise katumbi ndio chanzo cha mpira wa Kongo kuaribika mpaka kuelekea timu za mpira kukataa kucheza katika uwanja wa Moise katumbi
Na kibaya zaidi yeye yupo kimya hana tamko lolote juu ya upumbavu huu zaidi ya kusafiri Marekani Israel na sehemu zingine okey acha tuone itakuwaje Maana kupona kwake hapa ni kuchukuwa madaraka tu