MOI Wajiunga Tena na MGOMO

Sigma

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
5,006
Reaction score
1,259
Ni baada ya mabadiliko ya hali ya Ulimboka.

Wagonjwa waliokwishalipia tu ndo wanaonwa leo.

Emergence yasimama.

Source: Mimi niko ground zero

UPDATE:
Kutoka gazeti la Mwananchi
 
Nadhani this time Kikwete ndo atatafuta mwajiri mwingine na si madaktari.
 
Ni baada ya mabadiliko ya hali ya Ulimboka.
Wagonjwa waliokwishalipia tu ndo wanaonwa leo.
Emergence yasimama.
Source: Mimi niko ground zero
Moto ule ule
 
Homa inapanda na kushuka,
Wananchi sasa ndo watagoma barabarani kwa niaba ya madokta
 
Jamani, hii serikali ya aina gani? Mbona kama kuna uhuni unaendelea. Mara Lugalo Hospitali ya rufaa, wakati ya Muhimbili inawashinda.
 
Ndo matatizo ya kutibu dalili za ugonjwa unaojulikana na kutibika badala ya kutibu ugonjwa wenyewe
 
Ni baada ya mabadiliko ya hali ya Ulimboka.
Wagonjwa waliokwishalipia tu ndo wanaonwa leo.
Emergence yasimama.
Source: Mimi niko ground zero

kama mvua za kiangazi,,,,,,,,inanyeshaaa inakata,,,mara inanyesha gongo la mboto ila ukonga kuna manyunyu,,,,,kesho mnaskia ipo msamvu tu,mazimbu jua kaliii,usiku inapiga mlali hadi mafuriko,lakini milima ya SUA kukavuuuu,,,,,,,,
kinachofanyika sasa ni paka na panya wanatekenyana,wao wanaskia raha kutekenyana kwao
 
Ni baada ya mabadiliko ya hali ya Ulimboka.
Wagonjwa waliokwishalipia tu ndo wanaonwa leo.
Emergence yasimama.
Source: Mimi niko ground zero
Kwani afya ya Ulimboka ni muhimu sana kuliko afya za wagonjwa walioko hapo muhimbili?
 
Aluta continua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Safari hii Liwalo na Liwe, Dhaifu sijui watasema nini?
Madokta kutoka Iran haiwezekani tena, washalikororoga na bendera zao.
 
Waliohamasisha mgomo kwa manufaa ya kisiasa, wameaibika. Haya nendeni mkawashawishi wanajeshi LUGALO kugoma!!
 
Mkuu mabadiliko ya hali ya ulimboka yanahusiana nini na shughuli za MOI tena?si yalishaisha na wamerejea kazini.au kuna mengine ebu tujuze coz waleta uzi wanaleta news in kidusu dusu form
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…