Mohammed Salah : Merry Christmass 2025.

Mohammed Salah : Merry Christmass 2025.

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
13,267
Reaction score
31,840
Screenshot_20251225_214403_Lite.jpg


Dunia ingekuwa mahali salama kama sote tutaweka chuki pembeni na kuonyesha upendo.

MUNGU ANGETAKA TUWE WA DINI MOJA ASINGESHINDWA. LEO HII MKRISTO ANADUNDA, MUISLAMU ANADUNDA, HATA WASIOMUAMINI NAO WANADUNDA PIA.
 
Wadini wote uwa Ni masikini tu

Nashangaa Samia kwanini hawakemei Hawa wapuuzi Kama hawatumi!!

Udini unasababishwa na vitu vikuu 3

Umaskini, ujinga na ushamba

Hawa Mashehe wa bakwata ukiwatazama wote Wana hizo sifa!!

Bahati mbaya Samia ndiye anawatumia angekuwa hatumi angewakamata.
 
Wadini wote uwa Ni masikini tu

Nashangaa Samia kwanini hawakemei Hawa wapuuzi Kama hawatumi!!

Udini unasababishwa na vitu vikuu 3

Umaskini, ujinga na ushamba

Hawa Mashehe wa bakwata ukiwatazama wote Wana hizo sifa!!

Bahati mbaya Samia ndiye anawatumia angekuwa hatumi angewakamata.
Ndo kete PEKEE aliyobaki nayo
Kama isingekuwa Mungu kutuepueshia angetupeleka huko

Wale mashekh waliosema watachinja watu hadharani walifanyiwa Nini ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom