''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
Huyu ametumwa Tu kuna watu wapo nyuma yake, watanzania wanashindwa kuelewa naona wengi wanamlaumu bila kujua kuwa akina NAPE wenyewe wapo nyuma yake....huyu CHAMBO Tu
Huyu ametumwa Tu kuna watu wapo nyuma yake, watanzania wanashindwa kuelewa naona wengi wanamlaumu bila kujua kuwa akina NAPE wenyewe wapo nyuma yake....huyu CHAMBO Tu
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida