Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

Unajua kabisa sina uwezo wala muda wa kuanza kufukunyua nyuzi kutafuta mahali uliposema Zimbwe ni mbovu.

Ninachojua mmekuwa mnaiita Simba mbovu ikiwa na wachezaji hao hao ambao wakiondoka mnawachukua. Mmekuwa mnaapa kuwa hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kuanza pale Yanga ila leo Mwenda yuko kikosi cha kwanza mbele ya Kibwana. Wewe unajua ndani ya moyo wako kuwa Zimbwe ataanza mbele ya Boka na Kibwana na roho zenu zitakuwa na amani kabisa. Hapo ndiyo maana tunawaita nyie ni wanafki.
 
Hao sio wachezaji wa kutufikisha popote ndio maana tumewaacha. Mohamed Hussein yupo Simba miaka yote lakini nibmwendo wa robo fainali Tu. So waliohitajika wamebaki wacha vyuma virtue
 
Wamemuachia valentine nouma na sasa huyu tena?
Naupongeza uongozi wangu kwa kufukuza mizigo, vyuma vimesajiliwa, kuna paschal msindo na chuma kingine kinashuka tulia mwanangu Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…