Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

Kama anaenda Yanga ,msimu ujao Yanga italua moto sana aisee inaweza fika Nusu au fainali Ya CAF
Hao ni wachezaji bado haijawa timu. Ili iwe timu lazima apatikane mwalimu mzuri wa kuwafanya wachezaji waweze kuelewana, kuwa na mbinu bora za kimchezo na la mwisho lazima waingie mapema pre season kwaajili ya maandalizi ya msimu.
 
Yanga timu tayari wanayo ila hapo wanafanya maboresho kwa muda mrefu sasa nchi yetu haijawahi pata beki bora wa kushoto kuliko Mo Hussein.

Bahati mbaya kila msimu timu yetu inaanza upya ona msimu huu ambao tunaambiwa kikosi kizuri tayari tushaacha wachezaji muhimu tena kikosi cha kwanza
 
Kanji alishindwa kumpatia haya?
 
Kwa milioni 900 acha tu aende, kuziacha hizo ni upuuzi
 
Tundu Antipas lissu pekee NDO atanitetemesha ikitokea akahama nchi wengine KILA la KHERI Hilo liko JUU ya uwezo wangu,πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Mimi hata huwa siamini kama wachezaji wetu wamefikia stage ya kulipwa mishahara hiyo kuliko hata wabunge..

Hizo zinaweza kuwa ni mere speculation tu.
Mishahara ya wachezaji wa za timu za Tanzania huwa ni siri ya uongozi.
Na ukiona siri ujue na magumashi yapo.

Mswahili anavyopenda kuongeza sifuri mbele...alipe hivyo halaf msijue kweli.
 
Kwa milioni 900 acha tu aende, kuziacha hizo ni upuuzi
Hizo stori za jaba Yanga au timu yoyote ndani ya Tanzania hakuna atakayetoa 900M kwa Mo Hussein hasa na umri wake huo.
 
Wamemuachia valentine nouma na sasa huyu tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…