Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,247
- 7,125
Usia wa Mohamed Mwameja kwenda kwa Simba kupitia kwa Mohamed Husein,kwamba wakaze na wacheze kwa moyo na nidhamu.
www.facebook.com
6.3K reactions · 17 shares | Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe wake kwa nahodha wa sasa
Aliyekuwa nahodha wa kikosi chetu kilichocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, Mohamed Mwameja akizungumzia ilivyokuwa katika fainali ile ambayo tulikutana na Stella Abidjan lakini pia ujumbe...