Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,070
Umeona eh? Mi kanitaja bila uoga sababu yeye ndie mwalimu wangu hivo anajua hata nikiwa na hasira siwezi mdhuru kiivo, hajanipa lesson ya kumdhuru yeye mwalimu wangu.
Jiwe Linaloishi usimfuate huyo Mr Rocky atakuoteza na utabaki kuambulia kula ban tu oooh mwenzako mjanja hapa anatafuta ban kwa nguvu ili apate muda ea kufanya kazi
Halafu naomba mwambie Bishanga kuwa The secretary anashida na Mil 20 haraka
Mambo shem?
HeheheheheeeeKwa Mr. Rocky................Una jingine??
nawataja kwa taaluma zao:
pou: ni mwalimu wa UPE uhuru mchanganyiko.
Roulette: taaluma yake ina utata,inasemekana ni 'fundi',kuruka kwa ungo kwake ni muhali.
Candid Scope: Mnec wa sisiem
Invisible: shushushu,secree,njata,mhesabu vizibo...in aza weds hafai.
Erickb52: mwizi tu,bandido,majuzi aliswekwa ndani arusha,kazi kudandia wake za watu,atajiju mwaka huu.