Mods acheni upendeleo

Mods acheni upendeleo

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
1,504
Reaction score
2,976
Habari za muda wadau .

Wanasimba hongereni kwa ushindi.moja kwa moja kwenye point nikwamba wiki mbili zilizopita niliandika uzi wa kuwa simba akifuzu nipigwe ban .

Nakweli baada ya simba kushinda kuna watu walinifukunyua nikapigwa ban ta wiki nilipitia ugumu na sikuwa na namna .

Leo mtu wa kuitwa laban og kaomba mwenyewe kwa ridhaa yake apigwe ban lakini mpaka muda huu anadunda tu .

Ninaomba kama itawapendeza apigwe ban na roho yangu itasuuzika.
Asante.
 
Habari za muda wadau .

Wanasimba hongereni kwa ushindi.moja kwa moja kwenye point nikwamba wiki mbili zilizopita niliandika uzi wa kuwa simba akifuzu nipigwe ban .

Nakweli baada ya simba kushinda kuna watu walinifukunyua nikapigwa ban ta wiki nilipitia ugumu na sikuwa na namna .

Leo mtu wa kuitwa laban og kaomba mwenyewe kwa ridhaa yake apigwe ban lakini mpaka muda huu anadunda tu .

Ninaomba kama itawapendeza apigwe ban na roho yangu itasuuzika.
Asante.
Tabia za kiuchawi uchawi tu.
 
Habari za muda wadau .

Wanasimba hongereni kwa ushindi.moja kwa moja kwenye point nikwamba wiki mbili zilizopita niliandika uzi wa kuwa simba akifuzu nipigwe ban .

Nakweli baada ya simba kushinda kuna watu walinifukunyua nikapigwa ban ta wiki nilipitia ugumu na sikuwa na namna .

Leo mtu wa kuitwa laban og kaomba mwenyewe kwa ridhaa yake apigwe ban lakini mpaka muda huu anadunda tu .

Ninaomba kama itawapendeza apigwe ban na roho yangu itasuuzika.
Asante.
Hahaha kwahiyo imekuuuma? kwani ulitumwa kuomba upigwe ban? mimi nikafikiri unawashukuru Mods kwa kusikia ombi lako na kulitekeleza?
 
Mechi haijaishi Bado Kwa Madiba
Hii ni first leg,
Mshindi anapatikana Kwa matokeo ya jumla Kwa michezo miwili

Tungoje mchezo wa pili
 
Hahaha kwahiyo imekuuuma? kwani ulitumwa kuomba upigwe ban? mimi nikafikiri unawashukuru Mods kwa kusikia ombi lako na kulitekeleza?
Namimi nataka ombi la laban og
Mechi haijaishi Bado Kwa Madiba
Hii ni first leg,
Mshindi anapatikana Kwa matokeo ya jumla Kwa michezo miwili

Tungoje mchezo wa pili
Nawewe ndio walewale
 
Mimi shuka chini nimefurahi sana kwa mods kutekeleza maombi ya laban og sasa moyo wangu umesuuzika.
 
Mods nyuzi za watu kuomba ban ziwe zinaunganishwa ili wote wakutane kwenye uzi mmoja kisha watajua wenyewe km watapigana ban huko au watajiona machizi..!!
Mimi ni uto og niliomba makolo wanivalishe jezi yao kama simba mdebwedo ikifuzu nusu fainali basi nikasahau mishe nyingi huku Buza Mpalanger maskani , Hamad, kuna kolo kumbe aliniweka akilini ilimuuma sana akafukunyua comment yangu hiyo ya zamani na kuireply kwa kudai mimi ni utopolo na sina hadhi ya kuvaa jezi ya mnyama hata kama niliomba😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom