MODEM ya Airtel

Nyamburi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
306
Reaction score
37
Wadau habari,naombeni msaada wenu,natafuta modem kwa ajili ya matumizi ya internet ya airtel,nimetafuta sana kwy maduka yao lakini wanadai hawana kwa sasa,au naweza kupata wapi modem ambayo ni UNLOCKED ambayo itakua rahisi kutumia mtandao wa airtel/wowote?
 
uko wapi? tukusaidie kuzipatsa.
 
Nunua ya voda,then ichakachue...kwanza modem za airtel bei kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…