BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,533
- 11,027
Msaada wenu wakuu,modem yangu hupatwa na matatizo ya ku fail nnapo taka ku connect data.inaniletea ujumbe ambao nmescreen na ku attach hapo chini.huwa nna un install,halaf nna install tena,hapo itaendelea na kazi kama kawaida.ila tatizo hujirudia tena mara kwa mara.hvo inanibid nifanye kazi ya ku unistall na ku install tena.
Naomba msaada wenu wadau,ili hili tatizo liweze kufumbuliwa moja kwa moja bila kujirudia.
note.
Natumia modem ya airtel ila ni multi purpose
View attachment 554143 View attachment 554144
Naomba msaada wenu wadau,ili hili tatizo liweze kufumbuliwa moja kwa moja bila kujirudia.
note.
Natumia modem ya airtel ila ni multi purpose
View attachment 554143 View attachment 554144