Mo Scholarships 2022 (Mo Foundation)

Mo Scholarships 2022 (Mo Foundation)

martial jb

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
864
Reaction score
1,463
Habari wakuu

Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.

Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali na kwa mwaka huu watatoa kwa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM tu.

Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.

Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,

Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
 
Sisi wa SUA na SAUT hapo tumelala Yoo au sio ?
 
Habari wakuu

Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.

Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM.

Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.

Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,

Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
tar 22 mpk 29 mwezi gani
 
Mleta uzi au mdau yeyote aweke link watu wakajisajili.
 
Picha
FB_IMG_16664664812496100.jpg
 
Nani kakuambia kuna link ya kufanya application
 
Je mtu kama kapata mkopo Helsb hautoshi si anaweza kuaplly ? halafu mbona ana mambo mengi hiyo kwenye mfano hapo checklist no 6
Apply hata kama na heslb umeapply
 
Habari wakuu

Mo scholarships hii ni fursa ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Mo Dewji kupitia taasisi ya Mo Foundation, ufadhili huu ni kwa ajili ya malipo ya ada, malipo ya awali ya chuoni pamoja na pesa ya chakula na malazi kwa wanafunzi.

Pia ufadhili huu hutolewa kwa wanafunzi wa ngazi ya masomo ya shahada mwaka wa kwanza (fresh students)na pia hutolewa kwa wanafunzi wa vyuo vya UDSM, NIT, SUZA na UDOM.

Dirisha la maombi litafunguliwa kesho tar 22 mpaka tar 29 mwezi huu.

Wanafunzi wenye uhitaji wa ufadhili huu wa kimasomo ni nafasi yao kuchangamkia fursa hii,

Ila nashauri next time tunaomba bilionea huyo asibague vyuo kwani wanafunzi wa vyuo vyote wanauhitaji.
Huku kwa bwana Mo nako kunani aty wajameni
 
Back
Top Bottom