Ubaya wao wametolewa hatua ya mwanzo tena kwa kipigo cha nyumbani na ugeniniIla mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanyaje tathmini ya ushindi kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Kufungwa au ku draw mechi moja sio kukosa ubingwa mkuu. Hauwezi kishinda tu wewe kila siku wanzio nao wanajipanga kwa kushindaSasa mkuu mwisho wa msimu utafanya tathmini ya nn kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
hujielewwi wewe.mo amewapa simba akina nani wakati yeye ndio mwenyekiti wa bodiNa bado,naskia anaitaka mo arena yake kule bunju,ati kashawapa Simba b20 zao wakajenge uwanja wao
Jinga kabisa,mabasi ya kupewa utayauzajeKubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.
Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.
Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.
Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.
Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.
Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.
Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.
Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.
Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Mtatoa visingizio mpaka vitaisha vyote. Mechi iliyopita lawama zote akapewa Mugalu!Kweli kabisa ule uwanja haufai kuchezea ligi kuu
Usiwachukulie poa Mbeya, wanakimbiza balaa. Kapigwa Prisoni, Mbeya City, Ihefu na Mtibwa.Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
kasha jiuvulu yayari
Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??
Na huyo alie mfunga kapanda daraja au azam.kafungwa na Costal Union tuseme Costal union wapo njema zaidi.ya azam..?Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?
Ukiwa huna hela alafu ukamuita Mo mara tatu unaonekana Kama Mlio wa ng'ombe