Mo Mo Mo! nimekuita mara tatu

Ila mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
Ubaya wao wametolewa hatua ya mwanzo tena kwa kipigo cha nyumbani na ugenini
 
Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
 
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanyaje tathmini ya ushindi kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
 
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanya tathmini ya nn kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
Kufungwa au ku draw mechi moja sio kukosa ubingwa mkuu. Hauwezi kishinda tu wewe kila siku wanzio nao wanajipanga kwa kushinda
 
swala la mo kuingilia maswala binafsi ya wachezaji ndio linamfanya watu wamuite mwamedi.chama hata hakuna na nia ya kuondoka ila kutokana a na uswahili wake Chama akaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinga kabisa,mabasi ya kupewa utayauzaje
 
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??
 
Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
Usiwachukulie poa Mbeya, wanakimbiza balaa. Kapigwa Prisoni, Mbeya City, Ihefu na Mtibwa.
Isiwachukulie poa, wana stamina ya kufa mtu.
 
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?
 
Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?
Na huyo alie mfunga kapanda daraja au azam.kafungwa na Costal Union tuseme Costal union wapo njema zaidi.ya azam..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…