Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mohammed Dewji, mwekezaji mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, amesema klabu haijapotea na iko kwenye mchakato wa kujijenga upya. Katika ujumbe kwa mashabiki, Dewji amesema huu si wakati wa lawama bali mshikamano na hatua chanya.
Ameeleza kuwa Simba imejenga kikosi kipya, kuimarisha benchi la ufundi na kuweka msingi wa mwelekeo mpya. Ameahidi kuzungumza na mashabiki moja kwa moja hivi karibuni, huku akisisitiza kuwa mbele kuna mwanga na matumaini mapya.
Ameeleza kuwa Simba imejenga kikosi kipya, kuimarisha benchi la ufundi na kuweka msingi wa mwelekeo mpya. Ameahidi kuzungumza na mashabiki moja kwa moja hivi karibuni, huku akisisitiza kuwa mbele kuna mwanga na matumaini mapya.