MO Atalipa..

vitu vyengine ni useng tu ndo matatizo ya kuamua kwa emotion hata kama chanzo ni refa viti vinahusikaje..?
bora waekewe yale mangazi ya siment maana hapo itakuwa ni uharibifu tu kila siku

Kweli kabisa,na pengine huyo anayesema chanzo ni refa utakuta ni mmoja wa waliyovunja hivyo viti,mijitu mingine sijui ipoje?.haina hata ustaarabu.
 
Tunazungumzia haya sasa,hayo yalishatokea na adhabu ikatolewa,mtake msitake kitendo kilichofanywa na washabiki wa simba ni cha aibu kuliko sababu iliyowafanya mfanye hicho kitendo,mmetia aibu sana ,Shame on you wa Matopeni.
 
Tunazungumzia haya sasa,hayo yalishatokea na adhabu ikatolewa,mtake msitake kitendo kilichofanywa na washabiki wa simba ni cha aibu kuliko sababu iliyowafanya mfanye hicho kitendo,mmetia aibu sana ,Shame on you wa Matopeni.

Kwa hiyo Matendo ya Yanga kwa kuwa ni timu ya kubebwa ni mazuri hata ni yenye kutia kinyaa kwa kumpiga mwamuzi.....!!??
 
Kwa hiyo Matendo ya Yanga kwa kuwa ni timu ya kubebwa ni mazuri hata ni yenye kutia kinyaa kwa kumpiga mwamuzi.....!!??

Hayo yalishatolewa hukumu na wachezaji walishaadhibiwa kwa msimu husika,kubebwa inaweza kuwa ni dhana tu kwani goli lilifungwa na refa kaweka kati hapo wa kulaumiwa ni refa na siyo yanga.
 
Ukiona mtu MTU mzima anahalalisha upuuzi kwa kutoa mifano ya kipuuzi na yeye pia ni mpuuzi... Nyie ndio mnapiga wake zenu mabuti eti kisa jiran nae anampiga mwenzake.... Kwanini msikaripie hilo tukio kwa kutoa mifano kwenye ligi bora za EPL na LA LIGA ambapo matukio ya kihuni ya kung'oa viti ni nadra...

Ifike muda watu tuwe wastaarabu faults za referees haziwezi kuathiri viti vya uwanjani.... Sidhan kama huo uwanja ungekuwa ni Wa simba mashabiki wangefanya hilo tukio...
 
Angalia cha hayo ni nini? Sio huko unakosema EPL au LA liga huwezi kukuta refa ana maamuzi ya kijinga kama ambayo yamefanyika Jana ..
 
Kwenye hizi mechi za Simba na Yanga itabidi TFF wawe wanaazima referee kutoka ulaya sasa ili kuondoa huu utata unaojtokeza kila mara...
 
Ustarabu kwetu ni jambo geni kabisa vitu vizuri huwa hatuvipendi tumezoea viwanja vyetu vya ki local
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…