Tetesi: Mo aandika barua ya kukumbushia madai yake Simba SC

Tetesi: Mo aandika barua ya kukumbushia madai yake Simba SC

Kama anadai kwanini anaing'ang'ania timu wakati katiba mpya imetoka na haimtambui.
Huo ni utapeli anaofanya akishirikia na Mangungu na Magori.
Mjomba, inapata wapi ujasiri wa kumsimanga kiasi hiki mwekezaji wa timu yako! Akisitisha ufadhili, mna uwezo wa kuihudumia timu?
 
Huyo mhindi hizo fedha anazotumia kuifadhili klabu ya Simba zinatokana na nini ina maana ni faida kutokana na biashara zake..!!!???

Na kama ni faida ina maana kodi analipia kiasi gani kwa mwaka!!!???

Kama ni kweli kwamba anazitoa hizo fedha kuifadhili klabu ya Simba biashara yake inanufaikaje kutokana na huo ufadhili...!!!???

Nina mashaka sana kama kweli anaifadhili klabu ya Simba kama anavyodai na kama ni kweli anaifadhili basi halipi kodi ipasavyo na hata kule GSM pia ni utapeli huu huu unafanyika.

Serikali ni sehemu ya uhuni huu kwa sababu za kisiasa kwani hivi vilabu vinatumiwa kisiasa na serikali ya sasa na ina maana ikiondoka tu madarakani ndio unakuwa mwisho wa vilabu hivi vya Yanga na Simba na hata na Azam vilevile.

Umbumbumbu wa watanzania kwenye suala hili ni faida kubwa sana kwa serikali hii.
 
Back
Top Bottom