Mnyika: Wananchi wanahitaji Katiba Mpya sasa

Hakuna referendum yoyote iliyofanyika kuwauliza wananchi whether or not wanataka katiba mpya. Kilichofanyika ni Tume ya Judge Warioba kuiomba ile fraction ndogo ya wananchi waliyoweza kuifikia iseme kile ilichotaka katiba mpya ikibebe. Even if, by inference, hiyo fraction ndogo ya wananchi ilisema inataka katiba mpya, bado haifai kuifanya kuwa ndiyo kauli ya wananchi takribani 60 million au kauli ya angalau majority ya wananchi wa Tanzania!
Nadhani shida yako ni shule. Kichwani huna shule. Kwa hiyo unataka Warioba amuulize mtanzania mmoja mmoja kama anataka katiba mpya? Umekiri watanzania tupo takribani 60milioni, unadhani inawezekana jaji Warioba awamalize wote hawa 60milioni kuwauliza? Tatizo lako ni shule. Kiufupi sana japo najua hutanielewa kwa sababu shule huna hiyo unayoiita fraction ndio watanzania wote 60milion. Baba kuna kitu kinaitwa "sampling" ndio kilichofanyika kuwafikia hao watanzania 60ml. Huwezi kunielewa nimepoteza muda tu kuandika hiki.
 
Nadhani shida yako ni shule. Kichwani huna shule. Kwa hiyo unataka Warioba amuulize mtanzania mmoja mmoja kama anataka katiba mpya? Umekiri watanzania tupo takribani 60milioni, unadhani inawezekana jaji Warioba awamalize wote hawa 60milioni kuwauliza? Tatizo lako ni shule. Kiufupi sana japo najua hutanielewa kwa sababu shule huna hiyo unayoiita fraction ndio watanzania wote 60milion. Baba kuna kitu kinaitwa "sampling" ndio kilichofanyika kuwafikia hao watanzania 60ml. Huwezi kunielewa nimepoteza muda tu kuandika hiki.

Hakuna msomi anayejenga hoja yake around usomi wake. Ukiona hilo ujue hakuna msomi hapo!

Kama umekariri “sampling” hilo ni tatizo lako. I doubt you know anything about referendum. If you did, you wouldn’t have brought up the question of sampling at all. First of all, the fraction of the Tanzanians reached by the Warioba Commission isn’t a sample in the strictest, scientific sense of the word!
 
Katibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.

Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.

Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!
Anatusingizia. Wapi wananchi tulimwambia hivyo. Aache uongo
 
Back
Top Bottom