Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Wananchi wailisema lini kwamba wanakubaliana na tozo?Akisema Chadema wanataka Katiba aina nguvu inabidi asingizie Wananchi.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Wananchi wailisema lini kwamba wanakubaliana na tozo?Akisema Chadema wanataka Katiba aina nguvu inabidi asingizie Wananchi.
Nadhani shida yako ni shule. Kichwani huna shule. Kwa hiyo unataka Warioba amuulize mtanzania mmoja mmoja kama anataka katiba mpya? Umekiri watanzania tupo takribani 60milioni, unadhani inawezekana jaji Warioba awamalize wote hawa 60milioni kuwauliza? Tatizo lako ni shule. Kiufupi sana japo najua hutanielewa kwa sababu shule huna hiyo unayoiita fraction ndio watanzania wote 60milion. Baba kuna kitu kinaitwa "sampling" ndio kilichofanyika kuwafikia hao watanzania 60ml. Huwezi kunielewa nimepoteza muda tu kuandika hiki.Hakuna referendum yoyote iliyofanyika kuwauliza wananchi whether or not wanataka katiba mpya. Kilichofanyika ni Tume ya Judge Warioba kuiomba ile fraction ndogo ya wananchi waliyoweza kuifikia iseme kile ilichotaka katiba mpya ikibebe. Even if, by inference, hiyo fraction ndogo ya wananchi ilisema inataka katiba mpya, bado haifai kuifanya kuwa ndiyo kauli ya wananchi takribani 60 million au kauli ya angalau majority ya wananchi wa Tanzania!
Mfuate SSH, Polepole na Warioba watakupa sample size.Hao wananchi huyo Warioba na akina Polepole waliwahoji wapi?
Tupe sample size.
Nadhani shida yako ni shule. Kichwani huna shule. Kwa hiyo unataka Warioba amuulize mtanzania mmoja mmoja kama anataka katiba mpya? Umekiri watanzania tupo takribani 60milioni, unadhani inawezekana jaji Warioba awamalize wote hawa 60milioni kuwauliza? Tatizo lako ni shule. Kiufupi sana japo najua hutanielewa kwa sababu shule huna hiyo unayoiita fraction ndio watanzania wote 60milion. Baba kuna kitu kinaitwa "sampling" ndio kilichofanyika kuwafikia hao watanzania 60ml. Huwezi kunielewa nimepoteza muda tu kuandika hiki.
Wewe jamaa ni muoga kinyama utafikiri umeambiwa utaishi mileleMkuu bado tunakupenda . humu if hauko salama Sana kaka , tuchunge ndimi.
Anatusingizia. Wapi wananchi tulimwambia hivyo. Aache uongoKatibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amehojiwa na mtangazaji Waziri Khamsin wa BBC kuhusiana na namna chake kilivyopokea mahojiano ya BBC na Rais Samia.
Mnyika amesema sheria ya vyama vya siasa inatoa ruhusa kwa vyama kufanya mikutano ya hadhara.
Pia Mnyika amedai kuwa katiba ni takwa la wananchi na kwamba wananchi wanahitaji katiba sasa.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
My take; Wananchi walisema lini kwamba wanataka katiba sasa?!