Leo mabasi yote ya Dar express na Mtei express ya huku Arusha yamekodishwa na Lowassa na team yake kupeleka watu Dar bure go and return kwa ajili ya mkutano wa kesho jangwani. Watalipiwa pia malazi na chakula kwa siku hizi mbili yani leo na kesho. Mwaka huu tutashuhudia mengi, hizo pesa zote sijui zitarudishwaje.
#kataafisadikwendaikulu