johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Katibu Mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema takribani miezi miwili sasa Jiji la DSM lina sintofahamu ya Maji na DAWASA hawatoi taarifa yoyote
Mnyika anauliza " DAWASA mnataka tufanye maandamano?"
Mnyika anauliza " DAWASA mnataka tufanye maandamano?"