Mnyika awatelekeza wananchi wa Ubungo

Mnyika awatelekeza wananchi wa Ubungo

Joined
Jun 12, 2013
Posts
32
Reaction score
13
JOHN MNYIKA amewatelekeza wakazi wa Ubungo kwa kile alichowaahidi A M U A.

(A) Akili na ajira - Hajatoa wala kusababisha ajira kwa kijana yoyote wala mwanamke yoyote ktk jimbo la ubungo.

(M) Maji na miundombinu - Kila mtaa kwa jimbo zima kuna malalamiko ya maji hakuna chochote.

(U) Usalama na uwajibikaji - Yeye mwenyewe ameshindwa kuwajibika hapatikani jimboni wala ofisini kwake na hata simu hapokei.

(A) Aridhi na afya - Hajawahi kutembelea hata kituo chochote cha afya.

Hivyo nimeamua kufanya mikutano ya hadhara kuwambia wananchi wa jimbo la Ubungo udhaifu huu.Pia nitatoa namba zake za simu kwa wananchi wamtumie sms kumtaka atimize ahadi.

Ally makwilo, niliyekuwa katbu wa CHADEMA jimbo la Ubungo.
 
Wewe si uko CUF? ulikimbia mwenyewe ama ulikimbizwa huko chadema? Unatumia tibia UKAWA yetu wewe ni Mamluki wa CCM
 
Acha umamluki ww au ndo umetumwa? Mbona usiwazungumzie wabunge waliokimbia kwao nakuja kuishi dar? Mnyika ni mchapakazi usimchafulie jina
 
Hivi kuna tatizo gani wiki ya 3 maji hayatoki? Dawasa mnafanya kazi gani? Mnyika upo au umetutosa hadi magonjwa yalipuke!!!!? Kwa kweli inasikitisha sana.
 
Majirani zetu Mbezi Luis. pampu imeharibika mlandizi kuna kifaa kimeagizwa Ulaya wiki sasa . muwe na ubumilivu kitakapofika na kufungwa maji yatapatika kwa presha ile ile ya zamano. bear with us.
 
MNYIKA mchapakazi gani? mbona haonekani jimboni au anafanya kazi nyuma ya mgongo wako.@Umateumate
 
anshighulikia mambo makubwa...mumuache!
 
Jamani kuna msemo usemao mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni sijaona mbunge yeyote ambae anapambana na matatizo ya wananchi wake kama mnyika swala linakuja kwa wale wahusika wa ngazi za juu kumwekea vikazo asifike pale anapotaka kutokana na siasa zetu mbovu za kizandiki wakidhani wanamkomoa mnyika kumbe wanawaumiza wananchi wake mimi sio mkazi wa jimbo la ubungo na wala siitaji kumfanyia promo, ila nadhani kuna watu tumeumbwa hivyo haturidhiki hata kama tutabebwa na mbeleko.
 
acha ushabiki wa maccm wewe,keenja aliongoza ubungo mda gani na alifanya nini??
 
jimbo la ubungo limekaaa vagarant.....ona keenja na mnyika hkna mabadiliko....kwa hiyo kwa ushauri wngu mzoeeeeee tu
 
Tunapokea malalamiko mengi sana kutoka kwa wanaubungo, Mnyika amekuwa kama Kakakuona jimboni kwake.
Pia ahadi nyingi alizoahidi zimemuwia ngumu kuzifanyia kazi kwa sababu muda mwingi yuko bize na harakati za CHADEMA.
 
Majirani zetu Mbezi Luis. pampu imeharibika mlandizi kuna kifaa kimeagizwa Ulaya wiki sasa . muwe na ubumilivu kitakapofika na kufungwa maji yatapatika kwa presha ile ile ya zamano. bear with us.

Aisee unasema wiki wakati inaenda wiki ya 3; morogoro rd yote hakuna maji!
 
Hivi kuna tatizo gani wiki ya 3 maji hayatoki? Dawasa mnafanya kazi gani? Mnyika upo au umetutosa hadi magonjwa yalipuke!!!!? Kwa kweli inasikitisha sana.
We mwehu nini.., tabata huu mwaka wa kumi na tatu maji hayatoki we unalalamika wiki tatu..???!! Mbwa wewe.., chimbeni visima virefu.., alaaa..!
 
We mwehu nini.., tabata huu mwaka wa kumi na tatu maji hayatoki we unalalamika wiki tatu..???!! Mbwa wewe.., chimbeni visima virefu.., alaaa..!

Mambo gani sasa haya ya kuita wenzio umbwa hamna ugomvi hapa tunahabarishana kistaarabu.
 
Tunapokea malalamiko mengi sana kutoka kwa wanaubungo, Mnyika amekuwa kama Kakakuona jimboni kwake.
Pia ahadi nyingi alizoahidi zimemuwia ngumu kuzifanyia kazi kwa sababu muda mwingi yuko bize na harakati za CHADEMA.

Tunapokea wewe ni kama nani watoto wako wanalia shida hata madaftari.nguo za shule zimechanika.bado unapiga debe ccm intarahamwe.
 
Hakuna sababu ya kumdhihaki huyu mnyika kwani 215 mbali? Asubiri aone habari yake hakuna rangi yake tena itaonekana ubungo jasho na kokote alipo habari hizi kama hana zimfikie kwamba UBUNGO HATOCHAGULIWA TENA SI YEYE WALA MAREHEMU CHAMA CHAKE.
 
Hakuna sababu ya kumdhihaki huyu mnyika kwani 215 mbali? Asubiri aone habari yake hakuna rangi yake tena itaonekana ubungo jasho na kokote alipo habari hizi kama hana zimfikie kwamba UBUNGO HATOCHAGULIWA TENA SI YEYE WALA MAREHEMU CHAMA CHAKE.

Hakika.
 
Back
Top Bottom