Ingekuwa sheria inaruhusu kubadilisha wabunge ningewaomba wanaubungo watupe JOHN MNYIKA halafu sisi tuwape JOHN KOMBA.
hahahahaahhahahhahahahahah!!!!!!!!!
Ingekuwa sheria inaruhusu kubadilisha wabunge ningewaomba wanaubungo watupe JOHN MNYIKA halafu sisi tuwape JOHN KOMBA.
ndugu yangu hautwi cdf acha kuklemu, unaitwa Mfuko wa Kuchochea maendeleo ya Jimbo, au Constituency Development Catalyst Fund (CDCF). jifunze hiyo.Wee sio cdcf...ni cdf yaani constituency development fund...tatizo lenu CDM hamsomi mmekalia kupiga porojo tuu. Nyie hamtaki kujifunza mmekalia majungu tuu nendeni shule vijana
Kidumu chama cha mapinduzi.
Serikali ya CCM inapelekea wananchi maendeleo.
Mnyika hapo ni kama 'messenger'.
Akisema, anapewa pesa na serikali ya CCM.
Awe anakiri basi kama serikali ya CCM ni sikivu.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Serikali ya CCM inapelekea wananchi maendeleo.
Mnyika hapo ni kama 'messenger'.
Akisema, anapewa pesa na serikali ya CCM.
Awe anakiri basi kama serikali ya CCM ni sikivu.
issue sio fedha za nani, issue hapa ni namna ya mgawanyo wa miradi ulivyofanywa na usimamamizi wa fedha ambazo zinatokana na kodi ya wananchi. kuna wabunge wengi wanapelekewa fedha kama hizo majimbo, lakini badala yake zinakwenda kutumika ndivyo sivyo, kama vile kwenda kutengeneza vifaa vya uenezi vya cdm ili vitumike kuraghai wananchi.Hizo fedha zimetolewa na serikali mnyika amefanya kuwahi kuwahadaa wananchi ili kujitaftia umaarufu wa chee ie cheap popularity
kungekuwa na sheria inayoruhusu kubadilisha wabunge ningewaomba wanaubungo watupe JOHN MNYIKA halafu sisi tuwape JOHN KOMBA nadhani ingekuwa pouwa sana
kungekuwa na sheria inayoruhusu kubadilisha wabunge ningewaomba wanaubungo watupe JOHN MNYIKA halafu sisi tuwape JOHN KOMBA nadhani ingekuwa pouwa sana
kungekuwa na sheria inayoruhusu kubadilisha wabunge ningewaomba wanaubungo watupe JOHN MNYIKA halafu sisi tuwape JOHN KOMBA nadhani ingekuwa pouwa sana
Hili lijamaa linaloitwa Shelui ndio somi la ccm eti Linabisha kitu kilicho wazindugu yangu hautwi cdf acha kuklemu, unaitwa Mfuko wa Kuchochea maendeleo ya Jimbo, au Constituency Development Catalyst Fund (CDCF). jifunze hiyo.
suala la maji ni jambo ambalo ufumbuzi wake ni wa muda mfupi, wa kati na muda mrefu, ya muda mfupi yameshafanyika ya muda wa kati yanaendelea kama ya kurejea ha maji goba, na ya muda mrefu yanaendelea kufuatilia kama alivyotoa ahadi kikwete alipokuja ubungo na kusema kuwa atawahita ikulu kwa kujadili ishu ya maji dsm.Mie bado ninalia na mbunge wangu mh Mnyika juu ya suala la maji....suala la maji si la kupigia siasa wakati majibu yake yako wazi kabisa....kodi nyingi imeteketea katika ujenzi wa mabomba ya mchina.....bado wanaubungo tunalanguliwa kwa kununua maji kwa bei mara 12 ya bei halali.....tunaumia.....
suala la maji ni jambo ambalo ufumbuzi wake ni wa muda mfupi, wa kati na muda mrefu, ya muda mfupi yameshafanyika ya muda wa kati yanaendelea kama ya kurejea ha maji goba, na ya muda mrefu yanaendelea kufuatilia kama alivyotoa ahadi kikwete alipokuja ubungo na kusema kuwa atawahita ikulu kwa kujadili ishu ya maji dsm.