Mnyika aendelea kutekeleza ahadi zake

Mnyika aendelea kutekeleza ahadi zake

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
katika kile kutimiza wajibu wake wa kuisimamia na kuishauri serikali kamanda wa ubungo John Mnyika ameendelea kutekeleza ahadi. jana katika pitapita yangu nimekutana barua kutoka ofisi ya mkurugenzi yenye kuwajulisha kupokea fedha za mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo (cdcf), kwa jimbo la ubungo.

Fedha hizo hutolewa baada ya kamati ya kusimamia mfuko ambayo mwenyekiti wake ni mbunge, walipokea maombi ya mradi kutoka kata na kamati ikapitia maombi na baada hapo wakapitisha baadhi ya miradi na hii ni kutokana na kiwango cha fedha kinachopokea kutoka serikali kuu. ambayo kwa jimbo la ubungo inapokea kiasi cha sh.70milioni kwa mwaka.

Na hii ni miradi imepelekewa fedha ktk kata na kuanza utekekelezaji mara moja.


1. Fedha Tsh. 10,500,000.00 kwa ajili ya kukarabati visima 3 vya maji (mbadeco, kwa bi Asia na Anna Mkapa) na ujenzi wa kalvati eneo la National Housingi- Mburahati.

2.Fedha Tsh.10,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la ubungo islamic sec school mtaa wa kibangu kata ya makuburi.

3. Fedha Tsh. 10,000,000.00 kwa ajili ya umaliziaji wa choo cha shule ya sekondari ya gogoni-kibamba

4. Fedha Tsh. 12,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule ya msingi ukombozi,manzese,uzuri na kilimani-kata manzese.

5. Fedha Tsh. 6,000,000.00 kwa ajili ya kuchangia mradi wa ujenzi wa daraja linalojengwa kwa nguvu ya wananchi katika mtaa wa kanuni, kata ya mabibo.

6. Fedha Tsh. 7,500,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa vivuko vitatu vinavyounganisha mitaa 5 kwa jongo. sisi kwa sisi, kilimahewa, kagera na mianzini kata ya makurumla.

7. Fedha Tsh. 10,319,663.00 kwa ajili ya umaliziaji wa kituo cha polisi msewe na ujenzi wa kalvati la waenda kwa miguu eneo la kibo, kata ya ubungo.

8. Fedha Tsh. 3,500,000.00 kwa ajili ya kuchangia mradi wa maji kata ya msigani.

9. Fedha Tsh. 12,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa madawati 120 kwa shule ya msingi msumi, kata ya mbezi.

N.b kwa kata ambazo hazikupata fedha zitazingatiwa kwa fedha za mfuko wa jimbo kwa mwaka huu wa fedha.


Nawasilisha.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    381.7 KB · Views: 490
Jimbo la Ubungo lina watu milioni 1 na zaidi na wanapewa 70 milioni??

Majimbo ya Pemba yenye watu 10,000 je nao hupata milioini 70 kama Ubungo??
 
Jimbo la Ubungo lina watu milioni 1 na zaidi na wanapewa 70 milioni??

Majimbo ya Pemba yenye watu 10,000 je nao hupata milioini 70 kama Ubungo??
ndio ivyo serikali wametazama vigezo vyao na ndio fungu wanalotoa.
 
safi sana mheshimiwa Mnyika kwa kazi nzuri endelea kuwatumikia vizuri wananchi wa Ubungo.
 
Kina Sugu, Mgimwa M, Wenje, Lema, Filikunjombe, mdee na wengine ebu igeni uchapaji kaz wa Mnyika.
 
Jimbo la Ubungo lina watu milioni 1 na zaidi na wanapewa 70 milioni??

Majimbo ya Pemba yenye watu 10,000 je nao hupata milioini 70 kama Ubungo??


Hapo kwenye RED sijui itakuwa vipi kwani wabongo wote wakiamia ubungo bado namba ni kubwa
 
kwa hali hii Mnyika ataendelea kuwa mbunge wa ubongo mpaka aseme basi yatosha
 
Its obvious Mh. Mnyika is one of few CDM and National true political asset, anaemkataa huyu jamaa anayake tu dude is humble and concentrates on his role as an MP largely and partly on the movement for change.

I think he has balanced his acts appropriately na CDM nadhani huyu jamaa wangemuandaa kwa majukumu makubwa zaidi huko mbele kwakuwa anaaminika ndani sana. Hivyo wampe muda wa kujiendeleza kimasomo zaidi na kumpunguzia majukumu ya M4C hili hawe mwanasiasa kamili maana ni wao ndio walimwingiza katika siasa mapema na kumpora elimu yake.

Kipaji alichonacho its obvious hila he needs to master politics more than an average good politician and i will go as far as to say Mnyika akijipanga vizuri na kujifunza diplomacy mimi kura yangu ya mwaka 2020 kama mnyika atakuwa mgombea uraisi anayo, matter of fact after 2015 should CDM fail to win the general election Mnyika needs to be promoted to a senior position of that party.

Lets face it Dr. Slaa and Hon. Mbowe can do what they are currently doing without holding those position (that is their commitment to instigate political change in the land also they are good at that undeniably but as being national leaders it is a matter of a debate)
 
na tutekeleze basi tuliyoyapanga mh mnyika,,,ukitekeleza hayo itakuwa rahisi sana kufanya kameni kwa upande wako, utakuwa na kazi ya kulinda kura tu ambayo nayo tutakusaidia
 
Huyu anafaa kuwa Mbunge wa maisha hapo Ubungo..
sio Ubungo bali huyu mheshimiwa ni miongoni mwa wabunge wasiofikia hata kumi ambao utetezi wao unavuka mipaka ya majimbo na kuwa wabunge wa kitaifa. Binafsi namuunga mkono

 
Mnyika ni mbuge ambae unatamani akawa mbunge wa jimbo lako. ANAWAJIBIKA SANA
katika kile kutimiza wajibu
wake wa kuisimamia na kuishauri serikali kamanda wa ubungo John Mnyika
ameendelea kutekeleza ahadi. jana katika pitapita yangu nimekutana barua
kutoka ofisi ya mkurugenzi yenye kuwajulisha kupokea fedha za mfuko wa
kuchochea maendeleo ya jimbo (cdcf), kwa jimbo la ubungo.

Fedha hizo hutolewa baada ya kamati ya kusimamia mfuko ambayo mwenyekiti
wake ni mbunge, walipokea maombi ya mradi kutoka kata na kamati
ikapitia maombi na baada hapo wakapitisha baadhi ya miradi na hii ni
kutokana na kiwango cha fedha kinachopokea kutoka serikali kuu. ambayo
kwa jimbo la ubungo inapokea kiasi cha sh.70milioni kwa mwaka.

Na hii ni miradi imepelekewa fedha ktk kata na kuanza utekekelezaji mara
moja.


1. Fedha Tsh. 10,500,000.00 kwa ajili ya kukarabati visima 3 vya maji
(mbadeco, kwa bi Asia na Anna Mkapa) na ujenzi wa kalvati eneo la
National Housingi- Mburahati.

2.Fedha Tsh.10,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa kivuko cha waenda kwa
miguu eneo la ubungo islamic sec school mtaa wa kibangu kata ya
makuburi.

3. Fedha Tsh. 10,000,000.00 kwa ajili ya umaliziaji wa choo cha shule ya
sekondari ya gogoni-kibamba

4. Fedha Tsh. 12,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa madawati 120 kwa
ajili ya shule ya msingi ukombozi,manzese,uzuri na kilimani-kata
manzese.

5. Fedha Tsh. 6,000,000.00 kwa ajili ya kuchangia mradi wa ujenzi wa
daraja linalojengwa kwa nguvu ya wananchi katika mtaa wa kanuni, kata ya
mabibo.

6. Fedha Tsh. 7,500,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa vivuko vitatu
vinavyounganisha mitaa 5 kwa jongo. sisi kwa sisi, kilimahewa, kagera na
mianzini kata ya makurumla.

7. Fedha Tsh. 10,319,663.00 kwa ajili ya umaliziaji wa kituo cha polisi
msewe na ujenzi wa kalvati la waenda kwa miguu eneo la kibo, kata ya
ubungo.

8. Fedha Tsh. 3,500,000.00 kwa ajili ya kuchangia mradi wa maji kata ya
msigani.

9. Fedha Tsh. 12,000,000.00 kwa ajili ya ununuzi wa madawati 120 kwa
shule ya msingi msumi, kata ya mbezi.

N.b kwa kata ambazo hazikupata fedha zitazingatiwa kwa fedha za mfuko wa
jimbo kwa mwaka huu wa fedha.


Nawasilisha.
 
vizuri sana mtumishi wa ubungo endelea kuwatumikia wananchi wako kwa weledi na uzalendo.
 
Nini Kipya hapa? Tumekuwa hayawani, munataka kuniambia waBunge wengi hawafanyi hivi? Acheni u....
 
Back
Top Bottom