Vijana wawili wakiwa porini,mara ghafla wakakutana na simba.Kijana mmoja akainama na kuanza kuzifunga vizuri kamba za raba zake.Mwenzie akamwambia;'unafunga kamba za raba zako ili ukimbie,unafikiri utamshinda mbio simba?.Jamaa akajibu;'hapana,nataka nikimbie kuliko wewe ili nisiliwe na simba!'.