luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Wakuu salam, kama mada isemavyo bwana Mnyaka Mboro aliondoka nchini 1977 kwenda Ujerumani kusoma, akiwa masomoni nchini humo alipata wazo la kufuatilia fuvu la mtawala wa wachaga Mangi Meli Aliyeuawa na wajerumani mwaka 1900
Bw Mboro anasema anataka fuvu hilo ili likafanyiwe maziko ya kiheshima huko Moshi. Mboro ni mzaliwa wa Moshi mkoani Kilimanjaro, ana shahada ya uzamili(masters) aliyosomea CHUO kikuu cha Berlin.
CHANZO: BBC
Bw Mboro anasema anataka fuvu hilo ili likafanyiwe maziko ya kiheshima huko Moshi. Mboro ni mzaliwa wa Moshi mkoani Kilimanjaro, ana shahada ya uzamili(masters) aliyosomea CHUO kikuu cha Berlin.
CHANZO: BBC