kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,221
Hivi nawauliza CUF hawawezi kuchangia bungeni bila kuwasema vibaya CHADEMA?
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema....
.....ooh sio chama cha kitaifa eti kwa sababu hawana mbunge pemba,
.....ooh wanavuruga amani,
.....ooh wanataka kuvunja muungano.
CUF hizo najua ni chuki binafsi baada ya chama chenu kupoteza popularity bara.
Mnyaa unatia kinyaaaaaaaaaaaaaaaa!
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema....
.....ooh sio chama cha kitaifa eti kwa sababu hawana mbunge pemba,
.....ooh wanavuruga amani,
.....ooh wanataka kuvunja muungano.
CUF hizo najua ni chuki binafsi baada ya chama chenu kupoteza popularity bara.
Mnyaa unatia kinyaaaaaaaaaaaaaaaa!