Mnyaa nae Kinyaa

Mnyaa nae Kinyaa

kapotolo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
3,727
Reaction score
2,221
Hivi nawauliza CUF hawawezi kuchangia bungeni bila kuwasema vibaya CHADEMA?
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema....
.....ooh sio chama cha kitaifa eti kwa sababu hawana mbunge pemba,
.....ooh wanavuruga amani,
.....ooh wanataka kuvunja muungano.
CUF hizo najua ni chuki binafsi baada ya chama chenu kupoteza popularity bara.
Mnyaa unatia kinyaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Wao ni wa kitaifa kwa sababu wana mbunge Mara??????? Au utaifa kwao ni Pemba tu?
 
Nimemsikiliza wakati anaanza kuchangia nikaona intro yake tu imejaa unafiki na lugha ya kujipendekeza nikaamua kumpotezea. Mnyaa siyo yule tena!!!!!
 
Port vipi upo? Unaona siasa zetu? Jiandae maana inaonekana mbele kugumu huko!

Naangalia kwa makini sana! Nadhani ile dhana ya Kidumu chama cha.......Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti zinatuelekeza huku. Hakuna maslahi ya kitaifa ni mipasho na vijembe. Hili taifa limelaaaniwa nina wasi wasi. Umeme utakatika sasa hivi lol
 
Kwa taarifa hizi CDM sasa CV yake inazidi kupaa. Hawa wanaogopa vivuli vyao. Hawana cha kuwaambia wananchi, na wana uhakika kabisa wananchi wote wamewachoka. Hilo liko wazi.

Achana nao 2015 siyo mbali ingawa wao wanaona ni mbali sana.

Mbowe: kaza msuli Kamanda
 
..sasa mbona anakuwa amevitukana vyama vingi tu huku Tanganyika?

..vipi kuhusu UDP ambacho kimejikita zaidi ktk jimbo moja tu Bariadi?

NB:

..ninavyoelewa mimi Chadema wana mbunge wa viti maalum kutoka Pemba.
 
Tatizo lao na CCM moja. Teke alilopigwa CCM na CDM, wakati yuko njiani anaporomoka, akakutana na CUF kazubaa, kam-bamba, sasa haooo, wanashuka wote.
 
Hivi nawauliza CUF hawawezi kuchangia bungeni bila kuwasema vibaya CHADEMA?
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema....
.....ooh sio chama cha kitaifa eti kwa sababu hawana mbunge pemba,
.....ooh wanavuruga amani,
.....ooh wanataka kuvunja muungano.
CUF hizo najua ni chuki binafsi baada ya chama chenu kupoteza popularity bara.
Mnyaa unatia kinyaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hajui analolisema , wanaotaka kuvunja muungano ni wale waliobadili katiba ya Zenji na kusema Zanzibar ni Nchi wakaonyesha na mipaka yake maana walichukizwa na jibu la Pinda kwenye bunge lililopita (2005-20010) . Mara mafuta ni ya znz wabara wasituingilie .... , sasa mwenye kuuchukia muungano ni nani ? Inaonesha Mhe. Mnyaa ni Mnyaa kweli anazungumza ili wampigie makofi ,.,,,,
 
Chadema mnapoteza umarufu kwa maana mnajadili watu badala ya kufanya siasa ,yaani mupo mupo tu mnapiga makitaimu ,wakati watu wanaenda mchakamchaka.
 
haya mwingine huyo tena anaisuta chadema!! hata sijui anaitwa nani naona anaongea kwa kupanic
 
Chadema mnapoteza umarufu kwa maana mnajadili watu badala ya kufanya siasa ,yaani mupo mupo tu mnapiga makitaimu ,wakati watu wanaenda mchakamchaka.

Mkuu mlikuwa darasa moja na Maggid Mjengwa na Tambwe Hizza? Fikra zenu za fanana
 
Chadema mnapoteza umarufu kwa maana mnajadili watu badala ya kufanya siasa ,yaani mupo mupo tu mnapiga makitaimu ,wakati watu wanaenda mchakamchaka.
intelijensia yako is not intelligent
 
Hivi nawauliza CUF hawawezi kuchangia bungeni bila kuwasema vibaya CHADEMA?
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema....
.....ooh sio chama cha kitaifa eti kwa sababu hawana mbunge pemba,
.....ooh wanavuruga amani,
.....ooh wanataka kuvunja muungano.
CUF hizo najua ni chuki binafsi baada ya chama chenu kupoteza popularity bara.
Mnyaa unatia kinyaaaaaaaaaaaaaaaa!

Mkuu unategemea kuna siku caji kuiongelea. chama tawala kitaongelea vizuri chama cha upinzani? nani kasema, hii hoja ya kutokuwa na mbunge visiwani haisimami wala hatuhitaji kuiongelea!
 
yani mpaka leo wabara tumeshindwa kujua zenji kuna mabugabuga tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom