Mnunuzi wa Tikiti maji anahitajika.

Mnunuzi wa Tikiti maji anahitajika.

Samwel Meleka

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
601
Reaction score
269
Wakuu salaam

Kwa mwenye uhitaji na Tikiti maji
Zipo F1 pundamilia ujazo wa nguvu shamba lipo Mwadui shinyanga karibu na senta ya maganzo.

Nipigie 0765021800

Au pm

Karibuni sana
 
unge eleza idadi na bei, weka na picha ionyeshe bidhaa
 
Unakadiria tan ngap gar na sh.ngap unauza??
Mm ni mnunuz
 
Wakuu salaam

Kwa mwenye uhitaji na Tikiti maji
Zipo F1 pundamilia ujazo wa nguvu shamba lipo Mwadui shinyanga karibu na senta ya maganzo.

Nipigie 0765021800

Au pm

Karibuni sana

Japo kapicha ka hekari hz 2 za tikiti basi
 
Back
Top Bottom