Mnishauri......!!! Nimsaidieje shemeji yangu.......?

Mnishauri......!!! Nimsaidieje shemeji yangu.......?

sinafungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
1,527
Reaction score
868
Magomvi ya kila siku huu ni mwaka wa 15 , mwanamke ni mvumilivu kupitiliza. vikao kanisani . ofisi za kata woote wamenyoosha mikono rafiki yangu ni mtu asiyeshalika juu ya manyanyaso kwa mkewe kumfukuza na hata uwajibikaji ktk nyumba hakuna.binafsi niliisha acha kusuruhisha mambo yao muda mreefu, lakini juzi shemeji yangu amenibeep nilipompigia ananisimulia matatizo yao kwanza nikashangaa kwa kufikiri kile kimya, huenda jamaa amejirekebisha kumbe hakuna kitu. hali ni ile ile sijui pa kuanzia kwani mumewe ni mkorofi sanaaa, ufika mahala hata kutoa lugha mbaya kwa mtu anayejaribu kumueleza ukweli ili kupata ufumbuzi wa kudumu ktk matatizo yao. kimsingi nimemwambia shemeji aniache nifikirie nitampigia.... NAOMBA USAIDIZI WENU.
 
mamtu mabishi ambayo hayashauriki unaachana nayo mwambie shem aombe talaka
 
Ndio matatizo ya viapo sasa miaka 15 c usubiri kifo tu kiwatenganishe
 
Bible inaxema enyi wanawake watiini waume zenu na nyi wanaume wapendeni wake zenu.Tena inaxema Mungu anachukia waachanao
 
Miaka 15 kavumilia yoote hayo..........aendelee tu kuvumilia

sometimes that's all it takes to be a woman and as along as TILL DEATH TEAR US APART is concerned
 
Avumilie kwa kuvuta picha ya maisha yao ya mwanzo then atayashinda majaribu yanayo mkabili.
 
Dawa hapo ni kwenda mahakamani kudai talaka. asimng'ang'anie kwani huyo mume alizaliwa naye.
 
Umesahau mtu huvimbiwa kwa tonge la mwisho!
Mmh! haya bhana kama matatizo yanazoeleka!!!

Miaka 15 kavumilia yoote hayo..........aendelee tu kuvumilia

sometimes that's all it takes to be a woman and as along as TILL DEATH TEAR US APART is concerned
 
hao watakuwa wanapendana sana...miaka 15!!!???
 
kwa hilo uvumilivu bac sasa aje huku tanga achuku dawa 2 jamaa atapoa 2 hata kama anataka amlipizie kisasi cha kichapo!
 
Thamani ya mti huonekana Baada ya kuukata

Huyo Mke aondoke hapo kwa huyo bwana , ndipo atakapoiona thamani ya mkewe kwake

Kwa usalama aende kwa wakwe zake, si kushitaki bali kumfanya huyu bwana atambue thamani ya mkewe kwake
 
Magomvi ya kila siku huu ni mwaka wa 15 , mwanamke ni mvumilivu kupitiliza. vikao kanisani . ofisi za kata woote wamenyoosha mikono rafiki yangu ni mtu asiyeshalika juu ya manyanyaso kwa mkewe kumfukuza na hata uwajibikaji ktk nyumba hakuna.binafsi niliisha acha kusuruhisha mambo yao muda mreefu, lakini juzi shemeji yangu amenibeep nilipompigia ananisimulia matatizo yao kwanza nikashangaa kwa kufikiri kile kimya, huenda jamaa amejirekebisha kumbe hakuna kitu. hali ni ile ile sijui pa kuanzia kwani mumewe ni mkorofi sanaaa, ufika mahala hata kutoa lugha mbaya kwa mtu anayejaribu kumueleza ukweli ili kupata ufumbuzi wa kudumu ktk matatizo yao. kimsingi nimemwambia shemeji aniache nifikirie nitampigia.... NAOMBA USAIDIZI WENU.
Kwa kumsaidia huyo shemeji yako arudi nyumbani kwao akaishi, kwani aliuwa? Dada yangu hawezi kusumbuliwa na nguruwe pori kama hao, anarudi om hata kama ni miaka 70 wameishi! jamaa sio ndugu yake hawezi ona kama anamtesa kama hao mimi nafika ushemeji naweka mbali nacharaza bakora naondoka na sister!!!!!!!!
 
Ndg inaonekana ww ni mtu wao wakaribu!
1:Umeoa? km umeoa NDOA yako ina muda gani?
2:Urafiki wako na huyo jamaa yako umeanza baada ya yy kuoa? au akiwa ameshaoa!
Ntarudi!!
 
Back
Top Bottom