Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Hata mimi
kumbe siko peke yangu......
Hata mimi
Umesahau mtu huvimbiwa kwa tonge la mwisho!
Mmh! haya bhana kama matatizo yanazoeleka!!!
teh wamekutana kila mtu ana meno yake 32
Lady doctor ushauri wako mzuri kweli tatzo n kama anaamini katika uyasemayo na uyasemavyo.
Miaka 15 kavumilia yoote hayo..........aendelee tu kuvumilia
sometimes that's all it takes to be a woman and as along as TILL DEATH TEAR US APART is concerned
Huyo mwanamke hana pa kwenda hata kama ni mapenzi sio hivyo TOO MUCH IS HARMFULL!!!!
Bible "inaxema" au "inasema" sipendi hata kidogo huu uandishi...unaboa!!!!!Bible inaxema enyi wanawake watiini waume zenu na nyi wanaume wapendeni wake zenu.Tena inaxema Mungu anachukia waachanao
Magomvi ya kila siku huu ni mwaka wa 15 , mwanamke ni mvumilivu kupitiliza. vikao kanisani . ofisi za kata woote wamenyoosha mikono rafiki yangu ni mtu asiyeshalika juu ya manyanyaso kwa mkewe kumfukuza na hata uwajibikaji ktk nyumba hakuna.binafsi niliisha acha kusuruhisha mambo yao muda mreefu, lakini juzi shemeji yangu amenibeep nilipompigia ananisimulia matatizo yao kwanza nikashangaa kwa kufikiri kile kimya, huenda jamaa amejirekebisha kumbe hakuna kitu. hali ni ile ile sijui pa kuanzia kwani mumewe ni mkorofi sanaaa, ufika mahala hata kutoa lugha mbaya kwa mtu anayejaribu kumueleza ukweli ili kupata ufumbuzi wa kudumu ktk matatizo yao. kimsingi nimemwambia shemeji aniache nifikirie nitampigia.... NAOMBA USAIDIZI WENU.
Yule baba alikuwa keshang'oa mawili