maziwa ya mgando Senior Member Joined Mar 29, 2012 Posts 167 Reaction score 37 Nov 15, 2012 #1 Nimewamiss, nikaona mtanisahau bure Maaskari, mnisameheee Akyanani Bishanga ndio umejinyonga miguuu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Heart JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 2,673 Reaction score 1,712 Nov 15, 2012 #2 karibu sana!
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Nov 15, 2012 #3 Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu
Nicole JF-Expert Member Joined Sep 7, 2012 Posts 4,274 Reaction score 2,520 Nov 15, 2012 #4 Yap yap welcm back HEART said: karibu sana! Click to expand...
maziwa ya mgando Senior Member Joined Mar 29, 2012 Posts 167 Reaction score 37 Nov 15, 2012 Thread starter #5 Bishanga kajinyongea kamba Pale kwenye mbuyu wa Mbuyuni King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand...
Bishanga kajinyongea kamba Pale kwenye mbuyu wa Mbuyuni King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand...
Lucas JF-Expert Member Joined Dec 3, 2011 Posts 2,457 Reaction score 1,110 Nov 15, 2012 #6 ah ah ah ah hatimaye kumbe ulitoka jela! ukinipa hepi basdei yangu nakusamehe...
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Nov 15, 2012 #7 tulikumiss pia, hawajambo ulikokuwa?
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,226 Nov 15, 2012 #8 He he he he he he he
Arabela JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 3,127 Reaction score 2,227 Nov 15, 2012 #9 Karibu sana
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,741 Nov 15, 2012 #10 King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand... bibie King'asti Hayatakuwa Mtindi wala maziwa ya mgando yatakuwa Maziwa yalikwisha haribika Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand... bibie King'asti Hayatakuwa Mtindi wala maziwa ya mgando yatakuwa Maziwa yalikwisha haribika
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Nov 15, 2012 #11 hahaha mweh
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,226 Nov 15, 2012 #12 uncheka mazuri hayo? BADILI TABIA said: hahaha mweh Click to expand...
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Nov 15, 2012 #13 Mabigi! Wewe siku ile ai ulimuambia kisukari kuwa mtindi ni dawa ya tumbo? Na inasaidia kupungua! MziziMkavu said: bibie King'asti Hayatakuwa Mtindi wala maziwa ya mgando yatakuwa Maziwa yalikwisha haribika Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mabigi! Wewe siku ile ai ulimuambia kisukari kuwa mtindi ni dawa ya tumbo? Na inasaidia kupungua! MziziMkavu said: bibie King'asti Hayatakuwa Mtindi wala maziwa ya mgando yatakuwa Maziwa yalikwisha haribika Click to expand...
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Nov 15, 2012 #14 King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand... Umbea mbona si wa hata kupapasa? Ni wa kufikia tu! Ni hv bila kumung'unya maneno, Bishanga ndiye ajuae kuchezea gololi zake kiumahiri, pigia mstari zile gololi zetu za Kibo hasa! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
King'asti said: Mtindi hatuwezi kukusahau manake wewe ni kiungo, mboga na dawa. Hata MziziMkavu anajua. Kwani Bishanga kajinyongea nini, hebu leta umbea kiduchu Click to expand... Umbea mbona si wa hata kupapasa? Ni wa kufikia tu! Ni hv bila kumung'unya maneno, Bishanga ndiye ajuae kuchezea gololi zake kiumahiri, pigia mstari zile gololi zetu za Kibo hasa!
Bishanga JF-Expert Member Joined Jun 29, 2008 Posts 15,321 Reaction score 10,077 Nov 15, 2012 #15 maziwa ya mgando said: Nimewamiss, nikaona mtanisahau bure Maaskari, mnisameheee Akyanani Bishanga ndio umejinyonga miguuu Click to expand... tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
maziwa ya mgando said: Nimewamiss, nikaona mtanisahau bure Maaskari, mnisameheee Akyanani Bishanga ndio umejinyonga miguuu Click to expand... tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi!
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Nov 16, 2012 #16 Bishanga said: tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi! Click to expand... Yaleyalee! Si nilisema ! King'asti eee! Abeee! Si nilikwambia huo mtindi unasumbuliwa na mkuno na hasa wa nazi ! Chezeiya vitoke weyee? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bishanga said: tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi! Click to expand... Yaleyalee! Si nilisema ! King'asti eee! Abeee! Si nilikwambia huo mtindi unasumbuliwa na mkuno na hasa wa nazi ! Chezeiya vitoke weyee?
Heart JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 2,673 Reaction score 1,712 Nov 16, 2012 #17 karibu sana!
maziwa ya mgando Senior Member Joined Mar 29, 2012 Posts 167 Reaction score 37 Dec 18, 2012 Thread starter #18 He he he, ufundi gani mtu mwenyewe kazi kukoroma tu Bishanga said: tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi! Click to expand...
He he he, ufundi gani mtu mwenyewe kazi kukoroma tu Bishanga said: tatizo lako wewe toka nimekunililiyu kila ukilala unaniota,next time nitapunguza kalufundi! Click to expand...