Mnisamehe sana

Mi sinywi pombe mkuu...nilijifunza mwaka mmoja wa stress za talaka mwaka uliofuata nikawa To yeye yuleyule 🤒

Ok, hongera nikajua ni wale wa bia 3 kichwani mbili mezani
 
Ukamatwe haraka sana umalizie dozi yako uliyopewa pale mirembe

Ndugu zako watafutwe
 
Sina mengi ni hivyo... Nimekaa nimejitafakari sana

Kuna kaka zangu na dada zangu tumeongea inbox.

Mnisamehe sana. Nimejifunza Kwa njia ndefu ... Mbarikiwe sana.
Mnisamehe ....
Nakumbuka ulitaka kujinyonga kisa demu. Je, yule demu wako karudi?@mtoto wa nzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…